LIGI YA MABINGWA AFRIKA: SIMBA 0-1 AL AHLY

KUPOTEZA kwa Simba kwenye robo fainali ya kwanza Uwanja wa Mkapa kunaongeza ugumu kwa timu hiyo kutinga hatua ya nusu fainali. Wachezaji wa Simba watajilaumu wenyewe kuwa kwenye mwendelezo wa kukwama kutumia nafasi ambazo walizitengeneza ndani ya dakika 90. Haijaisha mpaka iishe kazi itakuwa kwa Yanga Machi 30 kufunga mchezo wa hatua ya robo fainali…

Read More

SIMBA WANA KAZI KUMALIZA KWA MKAPA, UGENINI BALAA

IKIWA Simba itakosa ushindi mbele ya Al Ahly angalau mabào manne Uwanja wa Mkapa inakwenda kuwa ngumu kwa sababu Al Ahly wakiwa Uwanja wa taifa wa Cairo wanashambulia kama nyuki. Katika mchezo wa African Football League uliochezwa Misri Oktoba 24 2023 ubao ukasoma Al Ahly 1-1 Simba walicheza mpira wa kasi mwanzo mwisho. Ni mashuti…

Read More

GAMONDI MASTA NA HESABU KIMATAIFA HAPA

MIGUEL Gamondi, Kocha Mkuu wa Yanga amebainisha kuwa mpango mkubwa kwenye mechi za kimataifa ni kupata ushindi wapo tayari kutokana na maandalizi ambayo wanayafanya kwenye uwanja wa mazoezi. Machi 30 Yanga inatarajiwa kukabiliana na Mamelodi Sundowns mchezo wa Ligi ya Mabingwa hatua ya robo fainali Ligi ya Mabingwa Afrika. Mchezo wao uliopita kwenye ligi Yanga…

Read More

KOCHA WA SIMBA AMEFICHUA MPANGO KAZI MZIMA

KOCHA Mkuu wa Simba Abdelhak Benchikha ameweka wazi kuwa mpango mkubwa kwenye mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Al Ahly ni kupata ushindi wakiwa nyumbani. Simba ina kazi ya kusaka ushindi kwenye mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa, Machi 29 2024 na Machi 27 walifanya maandalizi ya mwisho…

Read More

MASHABIKI WA SIMBA WAPATA AJALI CHALINZE, PWANI

Basi dogo aina ya Costa lililobeba mashabiki wa Klabu ya Simba limepata ajali mapema alfajiri ya leo eneo la Vigwaza kata ya Wilaya ya Chalinze katika Mkoa wa Pwani. Taarifa za awali zinasema mashabiki hao walikuwa wakitokea Tunduma kuja Dar es Salaam ambapo leo klabu hiyo ina mchezo wa robo fainali ya Klabu Bingwa Afrika…

Read More

YANGA HAINA HOFU NA MAMELODI KWAO AMANI TU

UONGOZI wa Yanga umebainisha kwamba hauna tatizo na wapinzani wao kwenye anga la kimataifa Mamelodi Sundowns kwa kuwa vita yao ni ndani ya dakika 90 uwanjani. Yanga wameweka wazi kuwakama kuna mashabiki wao ambao wapo Tanzania wajitokeze kwa wingi uwanjani kikubwa ni kuona wanapata burudani kwenye mchezo huo wa kimataifa unaotarajiwa kuwa na ushindani mkubwa….

Read More