
Meridianbet Inasema Pinga Ukatili kwa Wanawake Okoa maisha
Katika kuadhimisha siku ya Kimataifa ya Kupinga Ukatili Dhidi ya Wanawake, Meridianbet inaungana na watu wote kuhakikisha kuwa inasimama ngangari kuwalinda wanawake wote. Siku ya Kimataifa ya Kupinga Ukatili Dhidi ya Wanawake, inayofanyika kila mwaka tarehe 25 Novemba ambapo katika kuadhimisha siku hii muhimu, Meridianbet imezindua kampeni maalum ya kijamii ya “PINGA UKATILI, SIMAMA NA…