
MGENI RASMI SIMBA KIMATAIFA NOMA, KAZI INAENDELEA
KUELEKEA kwenye mchezo wa kimataifa wa Kombe la Shirikisho Afrika kwa Simba dhidi ya Bravos mgeni rasmi wa mchezo huo ni pasua kichwa kuwa hayupo kwenye orodha ya wachezaji yeye ni Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano Simba, Ahmed Ally. Simba chini ya Kocha Mkuu, Fadlu Davids ipo kwenye maandalizi ya mwisho kwa ajili…