
UTAZAME MSIMAMO WA LIGI KUU BARA
MSIMAMO wa Ligi Kuu Bara msimu wa 2021/22 kwa wakati huu upo namna hii ambapo vinara wa Ligi Kuu Bara ni Yanga inayonolewa na Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi na matajiri wa Dar Azam FC wapo nafasi ya 11.
MSIMAMO wa Ligi Kuu Bara msimu wa 2021/22 kwa wakati huu upo namna hii ambapo vinara wa Ligi Kuu Bara ni Yanga inayonolewa na Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi na matajiri wa Dar Azam FC wapo nafasi ya 11.
KINYONGE kabisa wawakilishi pekee katika mashindano ya kimataifa Simba wanakwenda katika Kombe la Shirikisho baada ya Oktoba 24 kutolewa kizembe Uwanja wa Mkapa kwa kufungwa mabao matatu ya ajabu wakiwa nyumbani. Ni maumivu kwa mashabiki wa Simba,viongozi pamoja na wachezaji kwa kukosa nafasi ya kutinga hatua ya makundi, leo tunaangazia mabmbo 7 ambayo yaliifanya…
OLE Gunnar Solskjaer, Kocha Mkuu wa Manchester United amewapongeza wachezaji wake kwa mbinu na uwezo walioonyesha katika mchezo wao wa Ligi Kuu England na kushinda mabao 3-0 mbele ya Tottenham wakiwa ugenini. Solskjaer aliwaongoza vijana wake katika mchezo huo mgumu wakiwa na kumbukizi mbaya ya kupokea kipigo cha udhalilishaji ambapo ni mabao 5-0 walifungwa…
MUONEKANO wa Ukurasa wa mbele gazeti la Spoti Xtra Jumapili nakala yake ni 500, unaambiwa mastaa Yanga waoga mamilioni na Kocha Mkuu wa Simba, Hitimana Thiery aiandaa Simba ya ubingwa.
DAKIKA 90, zimemalizika katika Uwanja wa Benjamin Mkapa huku Yanga wakiibuka na ushindi wa bao 2-0 dhidi ya Azam FC katika mchezo wa NBC Ligi Kuu Bara. Bao la kwanza la Yanga limefungwa na mshambuliaji Fiston Mayele dakika ya 36 kwa assist ya Shomari Kibwana, ya mchezo baada ya makosa ya mabeki wa Azam…
Timu ya Tumaini imetwaa ubingwa wa mashindano ya mtaani ya Meridian Bet street soccer bonanza yaliyofanyika leo Jumamosi kwenye uwanja wa Mwembeyanga, Temeke. Bonanza hilo lililoudhuliwa na mkuu wa kituo cha Mwembeyanga, msaidizi wa polisi Cathbert Christopher kwa niaba ya mkuu wa kituo cha Chang’ombe, ASP Mohammed lilishirikisha timu nne likipigwa kwa udhamini wa…
MHEZAJI wa zamani wa Klabu ya Simba Yahaya Akilimali amefariki Dunia usiku wa kuamkia leo Oktoba 30, 2021. Mauti yamemfikia mchezaji huyo akiwa Ujiji Mkoani Kigoma.Pumzika kwa amani winga teleza Akilimali. Mchezaji ambaye alicheza naye mpira ndani ya Simba, Athuman Idd Chuji amemlilia nyota huyo kwa kusema kuwa pumzika kwa amani Yahya Akilimali. Pumzika…
LICHA ya kwamba ameshabwanga manyanga ndani ya kikosi cha Simba, Didier Gomes raia wa Ufaransa kuna mechi nyingi ambazo alizishuhudia kwake zilikuwa ni za moto na pasua kichwa kwa namna wachezaji wake walivyopambana na mwisho kupata matokeo ama kuangukia pua. Hizi ni Mechi 5 ambazo ni dakika 450 zilizokuwa ni za moto kwa Gomes alipokuwa…
NYOTA wa Real Madrid, Eden Hazard ambaye mambo kwake yamekuwa magumu ndani ya kikosi hicho anatajwa kuingia kwenye rada za Newcastle pamoja na Chelsea. Nyota huyo hana furaha ndani ya Real Madrid kutokana na kusumbuliwa na majeraha ya mara kwa mara jambo ambalo limefanya ashindwe kuwa kwenye ubora ambao alikuwa nao alipokuwa akicheza ndani ya…
LEO Oktoba 30 kutakuwa na mchezo mkali wa Ligi Kuu England ambapo Manchester United watakuwa na kazi ya kusaka pointi tatu mbele ya Tottenham Hotspur. Manchester United wamekuwa kwenye mwendo wa kusuasua hivi karibuni sawa na Spurs pia nao hawapo vizuri licha ya kupewa nafasi ya kusinda mchezo wa leo utakaopigwa saa moja usiku….
UKISUBIRIWA muda tu kwa sasa kwa matajiri wa Dar, Azam FC kumenyana na Yanga leo Uwanja wa Mkapa nyota wake wanne wanatarajiwa kuukosa mchezo wa leo kutokana na sababu mbalimbali. Mchezo wa leo ni wa Ligi Kuu Bara ambapo kila timu inapambana kuweza kufikia malengo iliyojiwekea kwa msimu wa 2021/22. Kwa mujibu wa Vivier Bahati,…
KUELEKEA katika mchezo wa Dabi ya Dar es Salaam leo Uwanja wa Mkapa kati ya Yanga dhidi ya Azam FC unaotarajiwa kuchezwa saa 1:00 usiku kuna baadhi ya mastaa wataukosa mchezo wa leo. Miongoni mwa jina ambalo limekuwa likitajwa kwamba linaweza kukosekana ni pamoja na beki kitasa, Yanick Bangala jambo ambalo uongozi wa Yanga uliweza…
CHAMPIONI Jumamosi ukurasa wa mbele habari kubwa inaeleza kwamba Kocha Mjerumani aandaliwa mikoba Simba,Yanga wasema hawana presha na kesi ya Morrison CAS
Kocha Mkuu wa Manchester Unite, Ole Gunnar Solskjaer anatarajiwa kubaki na kuendelea kuinoa timu hiyo licha ya mwendelezo wa matokeo mabovu hususani ya bao 5-0 aliyapata juzi baada ya kupigwa na Liverpool, Sky Sports Italia imethibitisha. Mkurugenzi Mtendaji wa Klabu ya Manchester, Richard Arnold jana alivunja appointment zote za vikao vya wageni ili kukutana na Mmiliki wa Klabu hiyo, Joel…
KOCHA Mkuu wa Yanga, Nasreddine Nabi ni kama amewajaza upepo washambuliaji wa timu hiyo akiwemo Fiston Mayele kwa kuwa waambia kuwa wanauwezo mkubwa wa kufunga mabao mengi katika kila mchezo ikiwa tu wataamua kuzitumia vizuri nafasi wanazopata. Nabi ametoa kauli hiyo baada ya mazoezi ya juzi ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Azam unaotarajia kupigwa Jumamosi ya wiki hii kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar….
TAREHE ambayo hukumu ya kesi kati ya klabu ya Yanga na mchezaji Bernard Morrison ilikuwa imepangwa, imesogezwa tena mbele hivyo inatarajiwa kutolewa Novemba 23, mwaka huu. Wakili wa Yanga, Alex Mgongolwa ametoa ufafanuzi kuwa hukumu hiyo itatolewa siku yoyote kuanzia sasa mpaka Novemba 23, kwa mujibu wa taarifa waliyopewa na CAS. Mahakama hiyo ya…
KATIKA rundo la CV ambazo Simba imezipokea kwa ajili ya nafasi ya kocha mkuu wa timu hiyo, kuna majina ya makocha kadhaa waliowahi kuifundisha Yanga. Simba sasa inasaka mrithi wa Mfaransa, Didier Gomes, aliyetangaza kujiuzulu klabuni hapo baada ya matokeo mabaya kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika. Baadhi ya makocha waliowahi kuifundisha Yanga wanaitajwa zaidi…