TAMBO ZATAWALA KWA VINARA WA LIGI SIMBA

TAMBO zimetawala kwa vinara wa Ligi Kuu Tanzania Bara Simba kwa kubainisha kuwa licha ya kukutana na ushindani mkubwa kwenye mechi za hivi karibuni bado walipambana na kupata ushindi ndani ya uwanja. Ipo wazi kwamba kikosi cha Simba bado hakijawa kwenye ubora wa asilimia 100 kutokana na wachezaji wake wengi kuwa ni wageni huku Kocha…

Read More

FEISAL GARI LIMEWAKA HUKO

KIUNGO mshambuliaji ndani ya kikosi cha Azam FC, Feisal Salum gari limewaka huko kutokana na kasi yake ya kucheka na nyavu kuendelea kwenye mechi za Ligi Kuu Bara. Wakati ubao wa Uwanja wa Azam Complex, Novemba 28 2024 ukisoma Azam FC 2-1 Singida Black Stars ambayo imetoka kuachana na Patrick Aussems ambaye alikuwa kocha mkuu…

Read More

YANGA YATUMA UJUMBE HUU KWA NAMUNGO

 MCHORA ramani wa Yanga ameweka wazi kuwa wanakabiliwa na mchezo mgumu kesho na watapambana kupata pointi tatu muhimu unatarajiwa kuchezwa saa 12:30 jioni. Sead Ramovic amebainisha kuwa maandalizi yapo vizuri na wapo tayari kwa ajili ya mchezo huo ambao utakuwa na ushindani mkubwa na malengo ni kuona wanapata pointi tatu muhimu. “Tuna mchezo mgumu mbele…

Read More

EUROPA LEAGUE KUKUPATIA MKWANJA LEO

Leo hii ni afe kipa afe beki lazima uondoke na ushindi ndani ya Meridianbet ambapo viwanja mbalimbali vitaenda kuwaka moto timu zikisaka kwa hali na mali ushindi. Beti sasa ujishindie pesa za maana. Manchester United watakuwa Old Trafford kucheza dhidi ya Bodoe/Glimt kutoka kule Norway ambapo timu hizi zimetofautina  pointi moja pekee. United ipo chini…

Read More

MR BLUE NI KABISA MKALI

UKIZUNGUMZIA Bongo Fleva kuna majina mengi yanapita yamefanya mapinduzi makubwa ikiwa ni pamoja na Sugu ambaye huyu ni muziki wa Hip Hop kiujumla alileta mageuzi makubwa ukiigusa ile ngoma ya Miaka 18 anasema ilikuwa ni stori ya kweli akaituma kwa jamii kupitia nyimbo. Legend Dully Sykes huyu alileta mtindo wa Mwanasesere kisha Bongo Fleva ikaanza…

Read More

TABORA UNITED WAIVUTIA KASI KMC

NYUKI wa Tabora, Tabora United wapo ndani ya jiji la Dar kwa ajili ya maandalizi ya mechi inayofuata ya Ligi Kuu Bara dhidi ya wakusanya mapato wa Kinondoni, KMC. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa Uwanja wa KMC Complex saa 10:00 jioni ambapo wababe hao wawili watakuwa kazini kusaka pointi tatu muhimu. Ikumbukwe kwamba mchezo uliopita kwa…

Read More

UEFA: LIVERPOOL YAWAPIGA REAL MADRIDI 2-0

Liverpool imeibuka na ushindi wa 2-0 dhidi ya Mabingwa watetezi, Real Madrid kwenye mchezo wa Ligi ya Mabingwa Ulaya huku Aston Villa wakitoshana nguvu na Juventus kwa sare tasa katika dimba la Villa Park. Liverpool 🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 2-0 🇪🇸 Real Madrid 52’ Mac Allister 77’ Gakpo 𝐅𝐔𝐋𝐋 𝐓𝐈𝐌𝐄: #UCL 🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 Aston Villa 0-0 Juventus 🇮🇹 🇮🇹…

Read More

MAN CITY YAENDELEA KUANDAMWA NA MAUZAUZA KAMA YANGA

Mauzauza yameendelea kuiandama Manchester City baada ya kushindwa kuulinda uongozi wa 3-0 na kusawazishiwa 3-3 dhidi ya Feyenoord ya Uholanzi kwenye mchezo wa Ligi ya Mabingwa Ulaya huku ikishindwa kupata ushindi kwenye mechi ya 6 mfululizo kwenye michuano yote. Kwenye michezo mingine Arsenal imeilaza Sporting Lisbon jumla ya magoli 5-1, wakati Barcelona ikiilaza Brest magoli…

Read More

HII HAPA KAZI YA WANASIMBA, KIMATAIFA KWA MKAPA

AHMED Ally, Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano Simba amesema kuwa wanachama wa Simba leo ni sikukuu yao kwa kufanya mambo makubwa mawili, mapema kupiga kura kuchagua viongozi wa Serikali za Mitaa kisha jambo la pili kukutana Uwanja wa Mkapa kuishangilia Simba saa 10:00 jioni. Simba ina inayonolewa na Kocha Mkuu, Fadlu Davids inakibarua…

Read More

MAJALIWA AHITIMISHA JIMBO CUP RUANGWA

Waziri Mkuu na Mbunge wa Jimbo la Ruangwa Kassim Majaliwa ameshuhudia mchezo wa fainali ya kombe la jimbo maarufu Jimbo cup kati ya Stand fc na Kiwengwa FC uliofanyika katika uwanja wa mpira wa miguu wa Majaliwa, Ruangwa Mkoani Lindi. Katika mchezo huo uliopigwa Novemba 25, 2024, timu ya kiwengwa Fc iliibuka bingwa baada ya…

Read More

MERIDIANBET YAENDELEA ILIPOISHIA YATOA MSAADA WA VITU TANDALE, DAR

Meridianbet imeendelea ilipoishia kwani tena imefika eneo la Ali Maua Tandale jijini Dar-es-salaam na kufanikiwa kutoa msaada wa vitu mbalimbali kwa familia kadhaa zinazopatikana katika eneo hilo. Kurudisha kwa jamii iliyowazunguka na yenye uhitaji imekua ni moja  ya vipaumbele vikubwa sana kwa mabingwa hao wa michezo ya kubashiri, Kwani wamekua wakifanya hivo kwa miaka mingi…

Read More