SIMBA KWENYE HESABU NDEFU KIMATAIFA

MSHAMBULIAJI wa Simba Leonel Ateba ameweka wazi kuwa watapambana kutafuta ushindi kwenye mchezo wa kimataifa unaotarajiwa kuchezwa Jumapili, Desemba 8 2024. Simba kwa sasa ipo nchini Algeria kwa maandalizi ya mwisho kuelekea mchezo wa hatua ya makundi dhidi ya CS Constantine ambapo ni Aishi Manula aliyekuwa kwenye mpango wa safari alipata changamoto ya kiafya hivyo…

Read More

YANGA KWENYE PRESHA KISA KUPOTEZA, KAZINI KIMATAIFA

KOCHA Mkuu wa Yanga, Sead Ramovic ameweka wazi kuwa wapo kwenye presha kubwa kwa sasa kwenye mechi za kimataifa kutokana na kupoteza mchezo wao wa kwanza hatua ya makundi dhidi ya Al Hilal lakini watapambana kupata matokeo mazuri. Ikumbukwe kwamba mchezo wa kwanza kwa Yanga katika hatua ya makundi walikuwa nyumbani na baada ya dakika…

Read More

WATUMISHI WAASWA KUJIANDAA MAPEMA KABLA YA KUSTAAFU

WATUMISHI wa magereza wameshauriwa kuwekeza kwa busara katika sekta mbalimbali wakiwa bado kazini, ili kujihakikishia maisha mazuri na endelevu baada ya kustaafu. Ikumbukwe kwamba kuna uwekezaji kwenye sekta mbalimbali ikiwa ni pamoja na michezo ambayo wapo wamiliki wa maduka ya vifaa vya michezo wanatengeneza mkwanja humo huku wakiwa wanaendelea na kazi pamoja na fursa mbalimbali…

Read More

PATA TSH 4,000,000/= KUTOKA KASINO YA MTANDAONI

Haiwezekani msimu huu wa Sikukuu Usiambulie chochote kutoka Meridianbet, ndugu jamaa na marafiki wafurahishe kwa kucheza kasino ya mtandaoni na michezo ya Bragg na ushinde mgao wa Tsh 4,000,000/= Promosheni inafanyika kwa mfumo wa mashindano kwenye michezo iliyochaguliwa iliyoandaliwa na Bragg (Gamomat, Atomic Slot Lab, Blue beri): scss Sticky Diamonds (GAM) Fruit Mania (GAM) Aura…

Read More

ONESHA UWEZO WA KUISHI KWENYE BARIDI NDANI YA SLOTI YA BOOK OF ESKIMO

Unambiwaaje ujanja ni uwezo wako tu wa kuvumilia baridi kwenye mazingira yenye ubaridi, ushindi mkubwa unapatikana kwenye sloti ya kijanja ya Book of Eskimo. Kasino ya mtandaoni ya Meridianbet inakupa uhalisia wa mazingira hayo unapokua mchezoni. Kasino ya mtandaoni ya Meridianbet inakurejesha kwenye simulizi za mabingwa kuhusu juhudi zao za kushinda kirahisi, moja ya kitu…

Read More

YANGA HAO KAMILI KUWAKABILI WAARABU KIMATAIFA

WAWAKILISHI wa Tanzania katika Ligi ya Mabingwa Afrika leo wanatarajiwa kuwasili Algeria kwa maandalizi ya mwisho wa mchezo wao dhid ya MC Alger unaotarajiwa kuchezwa Desemba 7 2024. Msafara wa Yanga ulikwea pipa Bongo mapema Desemba 3 na walifika Dubai ambapo walipumzika. Miongoni mwa wachezaji waliopo katika msafara wa Yanga ni Khalid Aucho, Clement Mzize,…

Read More