
MABEKI WA YANGA WAELEKEA TUNISSIA
ABDALAH Shaibu beki wa kati wa Yanga ameelekea Tunissia kwa ajili ya matibabu zaidi ya maumivu ya goti ambayo alikuwa nayo kwa muda mrefu. Kwenye mechi za Ligi Kuu Bara ametumia dakika mbili pekee ilikuwa mbele ya Kagera Sugar na alianzia benchi wakati Yanga ikishinda bao 1-0 lililofungwa na Feisal Salum. Pia nyota mwingine ni…