
MABOSI SIMBA WAKUBALI UWEZO WA MGUNDA
KUTOKANA na kasi ambayo anakwenda nayo Kocha Mkuu wa Simba, Juma Mgunda mabosi wa timu hiyo wamebainisha kuwa wezo wake upo vizuri na hawakufanya makosa kumpa timu Mgunda akishirikiana na Seleman Matola ambaye ni msaidizi na wote ni wazawa