UMAKINI NI MUHIMU KWA SASA

TUNAONA timu zimeanza kuwaacha wachezaj wale ambao walikwama kufanya vizuri ama mikataba yao imegota mwisho hilo ni jambo linalohitaji umakini. Sio wachezaji tu hata benchi la ufundi imekuwa hivyo kama ambavyo wamefanya Yanga, Azam FC na Simba. Mbali na Yanga na Simba tunaamini bado zingine zitafuata kwa kuwa mwanzo wa msimu ni mwanzo wa mipango…

Read More

ISHU YA BALEKE NA PHIRI ITASEPA NA MTU

WAKATI miamba wawili Jean Baleke na Moses Phiri wakikutana na Thank You ndani ya Simba wanatajwa kuwa sababu ya Abdelhak Benchikha kocha wa Simba kuongeza nafasi ya kufungashiwa virago ikiwa nyota wapya watashindwa kufanya vizuri. Phiri kwenye ligi katupia mabao matatu huku Baleke akitupia mabao 8 katika Mapinduzi 2024 kila mmoja alitupia bao mojamoja. Wengine…

Read More

LEO KITAWAKA AFRIKA MPAKA KULE ULAYA, PIGA PESA HAPA, TANZANIA USO KWA USO DHIDI YA ZAMBIA

Meridianbet wanakuuliza kuwa kama sio kupiga pesa leo utapiga lini?. Leo hii kuna mechi nyingi hapa Afrika mpaka kule Ulaya. Unachotakiwa kufanya ni kuingia kwenye akaunti yako utengeneze jamvi lako na ubashiri kijanja hapa. Rwanda atakuwa ugenini kusaka pointi tatu dhidi ya Lesotho huku timu hizi zikiwa zimefatana kwenye msimamo. Mwenyeji anashika nafasi ya 2…

Read More

MWAKINYO ATAJA SABABU ZA KUPIGWA TKO

BONDIA Mtanzania Hassan Mwakinyo ameomba msamaha kwa kushindwa dhidi ya mpinzani wake  Liam Smith ambalo  lilifanyika jijini Liverpool nchini Uingereza na Mwakinyo kushindwa kwa TKO.  Kushinwa kwa Mwakinyo ambaye alikuwa anaipeperusha bendera ya Tanzania kulifanya  maamuzi ya mchezo huo yakawa ni kumtangaza Liam Smith kama mshindi wa pambano hilo. Mwakinyo amemwaga machozi wakati alipokuwa akiwaomba…

Read More

KIPA HUYU WA KAZI KWENYE RADA ZA SIMBA

INAELEZWA kuwa Simba ipo kwenye hesabu za kuinasa saini ya kipa wa kimataifa kuungana na timu hiyo ambayo imeweka kambi Uturuki. Yanga mlinda mlango namba ni raia wa Mali ambaye anaitwa Djigui Diarra hivyo Simba ikipata saini yake anakwenda kuwa namba mbili. Namba moja kwa Simba ni mzawa Manula tofauti na Yanga ambapo namba moja…

Read More

Meridianbet Kukupa Mkwanja Wa Kutosha Leo

Jumapili ya leo inaweza kua ya shangwe kwako kwani itakwenda kupigwa michezo ya kutosha ambapo unaweza kushinda mkwanja mzito wa mpaka milioni 300 kwa tiketi moja tu kupitia (Maximum payout) ya Meridianbet. Leo Max payout inaweza kukunufaisha kwani kutakua na michezo mikali katika ligi mbalimbali barani ulaya kuanzia pale ligi pendwa nchini Uingereza, Italia, Hispania,…

Read More

TANZIA:MAMA HASSAN MWAKINYO ATANGULIA MBELE ZA HAKI

TANZIA:-Mama mzazi wa bondia, Hassan Mwakinyo anayejulikana kwa jina la Fatuma Hassan Siri amefariki Dunia Desemba 22. Alikuwa anasumbulia na tatizo la uvimbe tumboni na alilazwa katika Hospitali ya Muhimbili kwa muda wa siku sita. Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Mwakinyo aliandika ujumbe huu:”Ama kuna siku nimekosa raha ya kila kitu ulimwenguni ni kukukosa wewe…

Read More

BARCELONA YAISAKA SAINI YA LEWANDOWSKI

IMEELEZWA kuwa Klabu ya Barcelona inaisaka saini ya staa Robert Lewandowski ambaye ni mshambuliaji ili kuweza kuwa naye kwa msimu ujao ndani ya kikosi hicho. Lewa ni moja ya mastaa ambao wana ushkaji mkubwa na kucheka na nyavu alikuwa anatajwa pia kuwindwa na Manchester United. Staa huyo wa Klabu ya Bayern Munich mkataba wake umesalia…

Read More

KISA INONGA, BENCHIKHA AWACHENJIA MABOSI SIMBA

BENCHI la Ufundi la Simba, ambalo lipo chini ya Kocha Mkuu Mualgeria, Abdelhak Benchikha limezuia mauzo ya beki wao kati Mkongomani, Hennock Inonga. Mkongomani huyo ni kati ya wachezaji wanaounda kikosi cha DR Congo, ambacho kimefuzu hatua ya Robo Fainali ya Kombe la Mataifa Afrika (Afcon) huko nchini Ivory Coast baada ya kuwaondoa Misri katika…

Read More

MWAKINYO AFUNGUKIA ISHU YAKE NA AZAM

BONDIA Mtanzania, Hassan Mwakinyo amewaomba radhi mashabiki wake kwa sintofahamu iliyojitokeza usiku wa Ijumaa ya Mei 31, katika ukumbi wa Warehouse Masaki ambako alitarajiwa kupigana na Mghana, Patrick Allotey na jambo hilo kushindikana dakika za mwisho za usiku ule. Kutokana na sintofahamu hiyo, Mwakinyo kupitia ukurasa wake wa mtandao wa kijamii, amesema hakuna shida yoyote…

Read More

YANGA, SIMBA ZAMUWANIA KIUNGO WA KAZI

UONGOZI Klabu ya DC Motema Pembe ya nchini DR Congo,unaomiliki kiungo wa kazi Karim Kimvuid Kiekie umebainisha kwamba kuna timu kubwa Bongo zinahitaji saini yake.  Kiekie kwa sasa ana umri wa miaka 19, ni miongoni mwa wachezaji wanaotamba kwa sasa nchini DR Congo ambapo akiwa katika umri huo tayari amefanikiwa kuitumikia timu ya taifa katika michuano ya CHAN iliyofanyika mwaka jana nchini Cameroon.  …

Read More