
NYONI KUACHWA SIMBA,JEMBE JIPYA HILI KUTUA SIMBA
IMEELEZWA kuwa mabosi wa Simba wamefikia maamuzi ya kuachana na kiungo mshambuliaji wao Mmalawi, Duncan Nyoni na kumalizana na kiungo Mzambia, Samuel Sikaonga. Nyoni aliungana na Simba mwanzoni mwa msimu huu, kwa mkataba wa miaka mitatu, akitokea Silver Strikers ya Malawi, lakini ameshindwa kuonyesha kiwango bora ndani ya timu hiyo jambo linalodaiwa kuwapelekea mabosi wake kumfungashia virago. Chanzo kutoka Simba kimeeleza kwamba, baada ya uongozi wa…