
MASTAA MANCHESTER UNITED 17 WANATAKA KUSEPA
MANCHESTER United ipo katika wakati mgumu hasa kutokana na kudaiwa kuwa kuna wimbi kubwa la wachezaji wanataka kuondoka wakati huu wa Januari au mwishoni mwa msimu huu. Kwa ufupi ni kuwa kuna hali tete ndani ya Old Trafford, ambapo inaelezwa kuwa kuna wachezaji takribani 17 ambao wanaweza kuondoka. Morali ndani ya klabu hiyo…