VIDEO: BANGALA WA YANGA AMECHAMBULIWA
YANICK Bangala MVP wa Ligi Kuu Bara msimu wa 2021/22 amechambuliwa
YANICK Bangala MVP wa Ligi Kuu Bara msimu wa 2021/22 amechambuliwa
TAZAMA namna Simba Queens walivyotwaa ubingwa mwanzo mwisho Uwanja wa Azam Complex, Agosti 27 kwa ushindi wa bao 1-0 dhidi ya She Corprote kwenye mchezo wa Fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika, ukanda wa CECAFA
IKIWA Uwanja wa Anfield, Klabu ya Liverpool imeibuka na ushindi mkubwa wa mabao 9-0 dhidi ya Bournemouth kwenye mchezo wa Ligi Kuu England. Huu unakuwa ni ushindi mkubwa ndani ya Ligi Kuu England ambayo imeanza kwa kasi na wa kwanza kwa Liverpool inayonolewa na Jurgen Klopp. Staa Robert Firmino ambaye anafikisha mabao 100 akiwa na…
KIM Poulsen, Kocha Mkuu wa timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars amesema kuwa wapo tayari kwa ajili ya mchezo wa leo kuikabili Uganda. Huu ni mchezo wa kufuzu michuano ya Kombe la Mataifa Afrika kwa Wachezaji wa Ndani, (CHAN), Uwanja wa Mkapa saa 10:00. Poulsen amesema kuwa wanatambua Uganda ni moja ya timu ngumu…
MASTAA wa Yanga ambao ni pamoja na Aziz KI, Bernard Morrison, Fiston Mayele wamepewa kazi ya kuhakikisha kwamba wanaonyesha thamani ya uwekezaji uliofanywa ndani ya Yanga
NYOTA wapya ndani ya kikosi cha Simba, Moses Phiri na Okra ni miongoni mwa wachezaji ambao wamempa jeuri bosi wa Simba kuamini kwama watarejesha furaha ndani ya timu hiyo msimu wa 2022/23
UPINDUAJI wa meza mbele ya Fulham ambao walitangulia kupachika bao dakika ya 56 kupitia kwa Aleksandar Mitrovic unawafanya Arsenal kuanza kwa kasi msimu wa 2022/23. Dakika 8 zilitosha kwa Klabu ya Arsenal inayonolewa na Kocha Mkuu, Mikel Arteta kufanya yao kwa kuanza kufunga mabao yao. Ni Mardtin Odegaard aliweza kuweka usawa ilikuwa dakika ya 64…
BAADA ya ubao wa Uwanja wa Azam Complex kusoma She Corporate 0-1 Simba Queens katika Fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika kwa Wanawake ukanda wa CECAFA Simba wanatangazwa kuwa mabingwa wa mashindano hayo. Bao pekee la ushindi kwa Simba lilijazwa kimiani na Vivian Corazona dakika ya 46 kwa mkwaju wa penalti. Dakika 45 za mchezo…
MANCHESTER United imeibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Southampton kwenye mchezo wa Ligi Kuu uliochezwa Uwanja wa St Mary’s. Kwenye mchezo wa leo ambao ulikuwa na ushindani mkubwa bao la ushindi limefungwa na Bruno Fernades dakika ya 55. Ni mashuti 17 ambayo Southampton walipiga huku matano yakilenga lango na United ni mashuti 11…
NASREDDINE Nabi, Kocha Mkuu wa Yanga amesema kuwa mechi za ugenini zilikuwa ni ngumu ila wanachofurahia ni kupata matokeo chanya. Mechi ya kwanza kwa msimu wa 2022/23 ilikuwa dhidi ya Polisi Tanzania ubao wa Uwanja wa Sheikh Amri Abeid ulisoma Polisi Tanzania 1-2 Yanga na ule wa pili ulisoma Coastal Union 0-2 Yanga. Kinara wa…
SADIO Kanoute, kiungo wa kazi ngumu ndani ya Simba hayupo na timu nchini Sudan kutokana na kupewa ruhusa maalumu kuelekea nchini Mali kushughulikia pasi yake ya kusafiria. Simba imeweka kambi kwa muda nchini Sudan ambapo wamealikwa kwenye mashindano maalumu yaliyoandaliwa na Klabu ya Al Hilal. Anatarajiwa kukosa mchezo wa kirafiki dhidi ya Asante Kotoko na…
Serie A inaendelea tena wikiendi hii kwa mechi kati ya Juventus dhidi ya AS Roma saa 1: 30 usiku. Juventus aliyetoka kupoteza mchezo wa mzunguko wa pili atawavaa AS Roma aliyepo nafasi ya 3 akiwa kashinda mechi zote mbili. Meridianbet wanampa nafasi kubwa ya ushindi Juventus kwa odds ya 2.35 huku AS Roma kapewa 3.19…
BAADA ya Azam FC kukamilisha dakika 180 kwenye Ligi Kuu Bara na kusepa na pointi nne leo kikosi hicho kitakuwa Zanzibar. Mchezo wa kwanza wa ligi Azam FC iliibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Kagera Sugar na iliambulia sare ya kufungana bao 1-1 dhidi ya Geita Gold. Mechi zote hizo mbili zilichezwa Uwanja…
FISTON Mayele, mshambuliaji wa Yanga amebainisha kuwa malengo yake kwa msimu wa 2022/23 ni kutwaa kiatu cha ufungaji bora. Nyota huyo msimu wa 2021/22 kasi yake ya kutupia mabao iligotea kwenye namba 16 na pasi nne. Namba moja alikuwa ni staa wa Geita Gold, George Mpole ambaye alitupia mabao 17 na pasi nne za mabao….
KOCHA Mkuu wa Simba, Zoran Maki ameweka wazi kuwa bado kazi ya mshambuliaji wake Dejan itazidi kuonekana kwa kuwa ni mwanzo pekee
SIMBA Queens leo ina kibarua cha kusaka ushindi dhidi ya She Corporate ya Uganda kwenye mchezo wa Fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika, ukanda wa Cecafa. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa leo Agosti 27 Uwanja wa Azam Complex saa 1:00 usiku na ikishinda itatwaa ubingwa huo kwa mara ya kwanza. Kocha Mkuu wa Simba Queens, Sebastian…
Zaidi unakuwa kwenye nafasi nzuri ya kushndinda Bonasi, Mizunguko ya bure na Jackpot kibao kwenye sloti ya Foxpot, na kasino ya Meridianbet. Fahamu Kuhusu Sloti ya Foxpot Unapoitazama sloti hii ya Foxpot, utashangazwa wapi hizi shilingi zinatoka. Jibu ni rahisi sana, sloti hii ya Foxpot inakujia na Jackpoti tatu kubwa na Mbweha akiwa kama alama…