
KITAWAKA LEO MASHUJAA FC DHIDI YA ‘WANA LUNYASI’, SIMBA SC KATIKA DIMBA LA LAKE TANGANYIKA, KIGOMA
Ligi Kuu ya soka ya NBC Tanzania bara inaendelea tena leo Novemba Mosi, 2024 kwa mchezo mmoja ambapo kutakuwa na pambano la kukata na shoka kati ya Wazee wa ‘Mapigo na Mwendo’, Mashujaa Fc dhidi ya ‘Wana Lunyasi’, Simba Sc katika dimba la Lake Tanganyika, Kigoma. Mchezo huo utakaopigwa mishale ya saa 10:00 jioni ni…