
MUONEKANO WA UKURASA WA MBELE GAZETI LA SPOTI XTRA
MUONEKANO wa ukurasa wa mbele gazeti la Spoti Xtra Alhamisi lipo mezani
MUONEKANO wa ukurasa wa mbele gazeti la Spoti Xtra Alhamisi lipo mezani
UWANJA wa Mkapa Simba imeshinda mbele ya Ruvu Shooting kwa kutupia mabao 7-0. Kipindi cha kwanza Simba walitupia mabao matano ilikuwa kupitia John Bocco na Clatous Chama ambao walitupia mabao mawilimawili na bao moja ilikuwa ni la kujifunga kwa Michael Masinda ilikuwa dakika ya 44. Kipindi cha pili Ruvu Shooting walifanya mabadiliko kwa kumtoa kipa…
KIUNGO Deus Kaseke katika mchezo wa Kombe la Shirikisho dhidi ya Biashara United alitumia dakika 8 akitokea benchi na alichukua nafasi ya Feisal Salum. Alipiga pasi 9 na alicheza faulo moja wakati Yanga ikishinda mabao 2-1 dhidi ya Biashara United Yanga imetinga hatua ya robo fainali inaungana na Azam FC iliyowatungua Baga Friends timu ngumu…
BAO la kiungo mshambuliaji wa Simba, Pape Sakho limechaguliwa kuwa bao bora la wiki katika michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika. Kiungo huyo alipachika bao hilo Februari 13,2022 katika mchezo uliochezwa Uwanja wa Mkapa ilikuwa ni kwa mtindo wa Acrobatic. Alipachika bao hilo la ufunguzi katika mchezo wa kwanza wa hatua ya makundi dhidi ya…
UONGOZI wa Azam FC umeweka wazi kwamba hesabu kubwa kwa sasa ni kuelekea kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Biashara United unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Karume, Mara huku tatizo kubwa likitajwa kuwa ni ubora wa uwanja. Ofisa Habari wa Azam FC, Zakaria Thabit amesema kuwa tatizo kubwa waliloliona kwa sasa ni Uwanja wa…
KYLIAN Mbappe staa wa Klabu ya PSG aliweza kuwatungua bao la ushindi Real Madrid katika mchezo wa UEFA Champions League hatua ya 16 bora. Ilikuwa dakika ya 90+4 nyota huyo aliweza kupachika bao hilo katika mchezo huo wa kwanza uliokuwa mkali mwanzo mwisho. PSG katika Uwanja wa Parc des Princes waliweza kupiga jumla ya mashuti…
MASTAA sita wa Simba inayonolewa na Kocha Mkuu, Pablo Franco ikiwa ni pamoja na Sadio Kanoute, Pape Sakho leo Februari 16 wanatarajiwa kuukosa mchezo wa Kombe la Shirikisho hatua ya 16 bora Uwanja wa Mkapa. Kanoute na Sakho waliumia kwenye mchezo dhidi ya ASEC Mimosas ambao ulikuwa ni wa Kombe la Shirikisho na Simba iliibuka…
BONDIA wa ngumi za kulipwa nchini, Twaha Kiduku Jumanne ya Februari 15 amesaini mkataba wa kupanda ulingoni kuzichapa dhidi ya Alex Kabangu kutoka DR Congo katika pambano litakalopigwa Machi 26, mwaka huu katika Ukumbi ambao utapangwa mkoani hapa. Kiduku atapanda ulingoni kwenye pambano hilo la kimataifa baada ya kumchakaza Dullah Mbabe Agosti mwaka jana katika…
MUONEKANO wa ukurasa wa mbele gazeti la Championi Jumatano
PEP Guardiola, Kocha Mkuu wa Manchester City usiku wa kuamkia leo ameshuhudia vijana wake wakisepa na ushindi mnono katika mchezo wa raundi ya 16, UEFA Champions League. Timu hiyo ambayo inaongoza Ligi Kuu England iliibuka na ushindi wa mabao 5-0 dhidi ya Sporting katika mchezo uliochezwa Uwanja wa Jose Alvalade. Ni mabao ya Riyad Mahrez…
BAADA ya dakika 90 ubao wa Uwanja wa Mkapa katika mchezo wa Kombe la Shirikisho umesoma Yanga 2-1 Biashara United. Mabao yote yamefungwa kipindi cha kwanza katika mchezo wa leo ambao ulikuwa na ushindani mkubwa. Ni Yannick Bangala alianza kupachika bao la kuongoza na bao la pili likafungwa na Fiston Mayele. Kwa upande wa Biashara…
MCHEZO wa Kombe la Shirikisho unaoendelea Uwanja wa Mkapa Yanga ipo mbele kwa mabao 2-1 dhidi ya Biashara United. Ni Yannick Bangala alipachika bao la kuongoza na lile la pili lilipachikwa na Fiston Mayele. Collins Opare alipachika bao kwa Biashara United wanajeshi wa mpakani.
Wiki hii inakuwa tamu zaidi kwenye Ligi ya Mabingwa Ulaya, Mbappe akiwa anakutana na klabu yake pendwa anayo husishwa nayo zaidi ya Real Madrid. Meridianet wana mzigo wako kwenye gemu hii. Messi atakuwa akitazamwa zaidi kwenye gemu hii, ambayo kutokana na muda wake na Barcelona ni kama amekuwa na upinzani wa kudumu na Real Madrid…
WAWAKILISHI wa Tanzania kwenye Kombe la Shirikisho, Simba leo Februari 13 wameibuka na ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya ASEC Mimosas ya Ivory Coast. Bao la mapema lilijazwa kimiani na Pape Sakho ilikuwa dakika ya 12 kwa pasi ya Shomari Kapombe lilidumu mpaka muda wa mapumziko. Kipindi cha pili ASEC Mimosas walifanya kweli na kupata…
BAO la Pape Sakho dakika ya 12 linawafanya Simba kuelekea katika vyumba vya kubadilishia nguo wakiwa mbele. Ni mchezo wa kwanza hataua ya makundi ambapo ni msako wa pointi tatu muhimu. Itabidi wajilaumu wenyewe ndani ya dakika 45 kwa kukosa nafasi tatu za wazi ambazo wametengeneza kwa kushindwa kuzibadili kuwa mabao. Nafasi moja ilikoswa na…
CHELSEA ni mwendo wa furaha baada ya ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Palmeiras kwenye fainali ya Klabu bingwa dunia na kutwaa ubingwa wa Kombe la Dunia kwa ngazi ya Klabu. Mabao ya Chelsea yalifungwa na Romelu Lukaku dakika ya 54 na lile la ushindi lilifungwa na Kai Havertz dakika ya 117 kwa mkwaju wa…
LEO Februari 13 kikosi cha Simba kinartarajiwa kusaka ushindi dhidi ya ASEC Mimosas kwenye mchezo wa Kombe la Shirikisho hatua ya makundi. Hiki hapa kikosi kitakachoanza:- Aishi Manula Shomari Kapombe Mohmaed Hussein Joash Onyango Henock Inonga Jonas Mkude Peter Banda Sadio Kanoute Meddie Kagere Rally Bwalya Sakho Akiba Ally Israel Gadiel Wawa Nyoni Mzamiru Bocco…