
YANGA KUCHEZA MCHEZO WA HISANI KESHO AZAM COMPLEX
KLABU ya Yanga inayonolewa na Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi raia wa Tunissia kesho, Jumamosi Machi 12 inatarajiwa kucheza mchezo wa kirafiki wa kimataifa dhidi ya timu ya taifa ya Somalia. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa Uwanja wa Azam Complex saa 1:00 usiku ikiwa ni sehemu ya mandalizi ya mchezo wao ujao wa ligi dhidi ya KMC….