


YANGA YASHINDA 3-0 KAGERA SUGAR
KIKOSI cha Yanga kimesepa na pointi tatu mbele ya Kagera Sugar katika mchezo wa Ligi Kuu Bara uliochezwa Uwanja wa Mkapa. Ni mabao matatu ambayo yamefungwa kwa Yanga inayonolewa na Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi. Fiston Mayele ametupia mabao mawili na pasi moja ya bao, amefunga dk 30 na 50 pasi kampa mshikaji wake Said Ntibanzokiza…

MASTAA HAWA 6 WA YANGA KUIKOSA KAGERA SUGAR
DICKOSN Ambundo,beki wa Yanga ni miongoni mwa nyota ambao wataukosa mchezo wa leo Februari 27 dhidi ya Kagera Sugar. Job ambaye ni beki wa kati anaukosa mchezo wa leo kutokana na kuwa kwenye mwendelezo wa kutumikia adhabu ya kifungo cha mechi tatu ambacho alipata kutokana na kucheza mchezo usio wa kiungwana mbele ya Richardson Ng’odya…

MSOTO WA SIMBA KUSAKA POINTI MOJA KIMATAIFA ULIKUWA HIVI
JUU ni baridi kali hivyo jambo la muhimu ni kuweza kuongeza juhudi kupata nguvu zaidi zitakazorejesha lile joto asilia na njia ni moja tu kuendelea kushinda mechi zote ili kuongeza nguvu. Wawakilishi wa Tanzania katika Kombe la Shirikisho Simba wakiwa katika hatua ya makundi na ni kundi D kwa sasa wanaongoza na pointi zao 4…

UWANJA WA MKAPA YANGA V KAGERA SUGAR VITA YA KISASI
LEO Uwanja wa Mkapa itakuwa ni vita ya kisasi kwa Kagera Sugar inayonolewa na Kocha Mkuu Francis Baraza v Yanga inayonilewa na Nasreddine Nabi katika mchezo wa mzunguko wa pili. Yanga ni vinara katika mchezo wa kwanza walishinda bao 1-0 Uwanja wa Kaitaba na mtupiaji alikuwa ni Feisal Salum ambaye leo ataukosa mchezo kutokana na…

MERSON:SAKA NA EMILE WAPEWE MIKATABA YA KUDUMU
MKONGWE wa Arsenal, Paul Merson, amesisitiza klabu hiyo inatakiwa kufanya haraka kuwaongezea mikataba nyota wa kikosi hicho, Bukayo Saka na Emile Smith Rowe. Kwa msimu huu wa 2021/22 Saka na Smith Rowe wamekuwa chachu ya mafanikio ndani ya Arsenal chini ya Kocha Mkuu, Mikel Arteta. Merson amesema nyota hao wamekuwa muhimu ndani ya kikosi hicho…

MAYELE MWENDO WA MOJAMOJA BONGO
FISTON Mayele mzee wa kutetema dozi yake anayotoa kwa kuwatungua wapinzani wake ni mwendo wa mojamoja kwa kuwa hakuna timu ambayo ameifunga mabao Zaidi ya mawili. Akiwa ametupia mabao 7 ni KMC walianza kutunguliwa na langoni alikuwa amekaa Faroukh Shikalo kwenye mchezo uliochezwa Uwanja wa Majimaji,Songea. Azam FC ilikuwa timu ya pili kufungwa kisha ikafuata…

RONALDO BANA AGOMA KUSTAAFU
NYOTA wa kikosi cha Manchester United amesema kuwa anaamini bado miaka minne au mitano kwenye soka na pia ana furaha kufanya kazi hiyo anayoipenda. Kwa sasa bado anakipiga ndani ya Manchester United akiwa ni staa anayetajwa kuwa mshambuliaji bora wa muda wote. Nyota huyo kibindoni ana tuzo tano za Ballon d’Or na msimu huu tayari…

MAKAMBO KUFUNGA YANGA BADO SANA APITISHA MECHI HIZI BILA KUFUNGA
HERITIER Makambo ndani ya Yanga amecheza mechi 11 kwa msimu wa 2021/22 bila kufunga kwenye mechi za Ligi Kuu Tanzania Bara. Yanga ni namba moja kwenye safu ya ushambuliaji yenye mabao mengi ikiwa imetupia mabao 25 na mtupiaji namba moja ni Fiston Mayele mwenye mabao 7 na pasi mbili za mabao. Kwa upande wa Makambo…

SIMBA:TUTARUDI NA MABEGI YA POINTI BONGO
MTENDAJI Mkuu wa Simba, Barbara Gonzalez amesema kuwa wanaamini kwamba watarudi na mabegi ya pointi mgongoni baada ya kukamilisha mchezo wa leo Februari 27 dhidi ya RS Berkane ya Morocco. Simba ni vinara wa kundi D kwenye Kombe la Shirikisho wakiwa na pointi nne kibindoni wakiwa wamecheza mechi mbili, walishinda mbele ya ASEC Mimosas mabao…

YANGA YATUMA UJUMBE HUU KAGERA SUGAR
UONGOZI wa Yanga umeweka wazi kwamba unahitaji pointi tatu kwenye mchezo wa leo dhidi ya Kagera Sugar unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa. Hassan Bumbuli, Ofisa Habari wa Yanga ameweka wazi kwamba wanahitaji kupata pointi tatu mbele ya Kagera Sugar kwa kuwa mchezo ni mgumu na wanaamini watapata ushindi. “Mchezo wetu dhidi ya Kagera Sugar utakuwa…

MUONEKANO WA UKURASA WA MBELE GAZETI LA SPOTI XTRA JUMAPILI
MUONEKANO wa ukurasa wa mbele gazeti la Spoti Xtra Jumapili

KMC WALIPA KISASI MBELE YA POLISI TANZANIA
KMC leo imelipa kisasi mbele ya Polisi Tanzania kwa kuwatungua mabao 3-0 na kusepa na pointi tatu mazima. Katika mchezo wa mzunguko wa kwanza walipokutana Uwanja wa Karatu, ubao ulisoma Polisi Tanzania 2-0 KMC na kuwafanya waweze kusepa na pointi tatu mazima. Katika mchezo wa leo uliochezwa Uwanja wa Azam Complex, ubao umesoma KMC 2-0…

MZUNGUKO WA PILI HUU HAPA MLANGONI MUHIMU KUJIPANGA
MZUNGUKO wa pili tayari upo mlangoni kwa timu ambazo zinashiriki Ligi Kuu Bara kuweza kujua nani atakuwa ni nani. Hesabu za mwisho hukamilishwa katika mzunguko wa pili hivyo jambo la msingi ni timu zote kuweza kujipanga na kupata ushindi kwenye mechi ambazo watacheza. Hakuna namna nyingine inayotakiwa kufanyika zaidi ya kila timu kuweza kufanya maandalizi…

VIDEO:MWAKINYO ATOA NENO KUHUSU BONDIA ALIYEZICHAPA NA TONY
BONDIA Hassan Mwakinyo amesema kuwa bondia Bongani Mahlangu ambaye alizichapa na Tony Rashid kwenye usiku wa vitasa ni moja ya mabondia wazuri.

SIMBA YATUMIA MBINU YA KIPEKEE KUIMALIZA RS BERKANE
KATIKA kuhakikisha wanaibuka na ushindi kwenye mchezo wao wa kesho Jumapili dhidi ya RS Berkane, uongozi wa Simba umeamua kutumia njia ya kipekee kupitia uhusiano wao na maofisa wa Raja Casablanca ya Morocco kuhakikisha wanapata mbinu za kuwamaliza Berkane. Simba inanufaika kutokana na kuwa na makubaliano ya ushirika na Klabu ya Raja Casablanca yaliyotokana na…

BAO LA MKONO LAMPONZA FEISAL,LIMEMKUTA HILI YANGA
FEISAL Salum, kiungo mwenye uwezo wa kutumia miguu yote miwili kufunga pamoja na mikono amekutana na jambo litakalomfanya kesho aukose mchezo wa ligi dhidi ya Kagera Sugar. Nyota huyo anakumbukwa kwamba alikuwa ni nyota wa kwanza ndani ya Yanga kwa msimu wa 2021/22 kufunga bao la mkono mbele ya Mtibwa Sugar, Uwanja wa Manungu na…