
AZIZ KI KURUDI YANGA SC, MAMBO MAGUMU
IKIWA upepo utakuwa mgumu kwa kiungo mshambuliaji wa Wydad, Aziz KI kwenye changamoto yake mpya huenda akarejea ndani ya kikosi cha Yanga SC ambacho kilitwaa ubingwa msimu wa 2024/25 kikiwa na pointi 82 kibindoni. Msimu wa 2024/25 akiwa na uzi wa Klabu ya Yanga SC, Aziz Ki alikuwa ni chaguo la kwanza katika mechi za…