YANGA YAZINDUA JEZI MPYA MSIMU WA 2025/2026

Klabu ya Yanga imezindua rasmi jezi zake mpya kwa ajili ya msimu wa mashindano wa 2025/2026. Jezi mpya zimebeba mchanganyiko wa ubunifu wa kisasa na rangi za kijadi za klabu hiyo – kijani na njano – zikionyesha utambulisho wa mabingwa hao wa kihistoria wa Tanzania. Muundo mpya unalenga kuipa timu taswira ya kisasa zaidi, sambamba…

Read More

ATLETICO MADRID KUTAFUTA NAFUU BAADA YA KUPOTEZA MCHEZO ULIOPITA, BUNDESLIGA, SERIE A, EPL KITAWAKA!

Ushindi mnono upo Jumamosi ya leo na kampuni kubwa ya ubashiri ya Meridianbet. Tengeneza jamvi lako lenye mechi nyingi sana huku machaguo zaidi ya 1000 yakiwa yanakusubiri. Napoli, City, Barcelona na wengine kibao wanakungoja. BUNDESLIGA kule Ujerumani  kuendelea Bayer Leverkusen chini ya Ten Hag watamleta nyumbani kwao TSG Hoffenheim ambao kushinda mechi hii wamepewa ODDS…

Read More

USIKU WA MABINGWA, PLAYSON SHORT RACES

Usiku wa mabingwa ndo huu sasa. Hatuongelei usiku wa ligi ya mabingwa Ulaya bali huu ni usiku wa Playson Short Races. Fikiria usiku ukiwa umetulia, muda ni saa 4:00 usiku. Unacheza mizunguko yako kwenye sloti za Playson, na ghafla jina lako linaanza kupanda kwenye leaderboard. Kila mzunguko unakuwa ni hatua moja mbele kuelekea kwenye ushindi…

Read More

TANZANIA KWENYE VITA UWANJANI NA MOROCCO CHAN 2024

TIMU ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars leo Agosti 22 2025 ina kibarua cha kusaka ushindi kwenye mchezo wa hatua ya robo fainali dhidi ya Morocco ikiwa ni CHAN 2024. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa saa mbili usiku huku benchi la ufundi la Stars likibainisha kuwa lipo tayari kuhakikisha matokeo yanapatikana ndani ya…

Read More

SIMBA SC YAMTAMBULISHA KIUNGO MAEMA

Nyota mpya Simba SC, raia wa Afrika Kusini Neo Maema ametambulishwa rasmi ndani ya kikosi hicho Agosti 21 2025 kuelekea msimu mpya wa 2025/26. Huyu ni kiungo mshambuliaji ambaye yupo na timu kambini nchini Misri alikuwa katika kikosi cha timu ya taifa ya Afrika Kusini, maarufu kwa jina la Bafanabafana kwenye CHAN 2024. Nyota huyo…

Read More

LADACK CHASAMBI KUONDOKA SIMBA SC

KOCHA Mkuu wa Simba, Fadlu Davids ameweka wazi msimamo wake juu ya kiungo wake mshambuliaji, Ladack Chasambi kuwa hayupo katika mipango yake ya msimu ujao. Kuna uwezekano mkubwa nyota huyo akaondoka ndani ya kikosi cha Simba SC kwa msimu ujao ambapo inalezwa kuwa pengine anaweza kwenda KMC ama Namungo FC kwa mkopo. Benchi la ufundi…

Read More

AZAM FC YAACHANA NA KIPA MOHAMED MUSTAFA

Klabu ya Azam FC imeachana rasmi na kipa wake raia wa Sudan, Mohamed Mustafa, baada ya kufikia makubaliano ya pande zote mbili. Kupitia kurasa zake za mitandao ya kijamii, Azam FC imetoa ujumbe maalumu kuthibitisha kuachana huko, ikibainisha kuwa uhusiano huo umehitimishwa kwa amani na kwa heshima baina ya pande zote. Mustafa, ambaye alijiunga na…

Read More

WIKI YA MWANANCHI NI SEPTEMBA 12 2025

Yanga SC imeitangaza siku ya Ijumaa ya Septemba 12 2025 kuwa siku rasmi ya kilele cha wiki ya Wananchi. Hii ni siku maalum ambayo hutumiwa kwa ajili ya kutambulisha wachezaji na kikosi kipya mbele ya mashabiki.  Pamoja na utambulisho huo matukio kama burudani za muziki na mechi kali ya soka hunogesha. Hili ni miongoni mwa…

Read More

MILIONEA MPYA KUTOKA MERIDIANBET, DAU DOGU, USHINDI MKUBWA

Ushindi mkubwa unaweza kuja kwa namna zisizotarajiwa, hiyo imethibitishwa na mshindi wetu wa hivi karibuni. Kwa dau dogo la TZS 3,055/= amejiwekea historia kubadilisha kiasi hicho kidogo kuwa TZS 14,996,310/= Yote haya yalifanikishwa kwa urahisi kupitia USSD ya Meridianbet, ikithibitisha kuwa umakini na mikakati sahihi inaweza kubadilisha maisha. Huduma ya USSD imekuwa suluhisho rahisi kwa…

Read More