
MTAMBO WA MABAO YANGA UPO KAMILI GADO
FISTON Mayele, nyota wa kikosi cha Yanga yupo kamili gado kwa ajili ya mwendelezo wa mechi za ushindani ya Ligi Kuu Bara pamoja na Kombe la Shirikisho. Mayele alipata maumivu kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Geita Gold uliochezwa Uwanja wa CCM Kirumba. Kwenye mchezo huo Mayele alikwama kuyeyusha dakika 90 na aliweza…