
MAMELODI YAKUBALI KICHAPO LIGI YA MABINGWA
Mamelodi Sundowns imekubali kichapo cha 1-0 dhidi ya wenyeji, Raja Casablanca kwenye mchezo wa raundi ya nne wa hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika katika dimba la Larbi Zaouli. FT: Raja AC 🇲🇦 1-0 🇿🇦 Mamelodi Sundowns ⚽ 45+2’ Benamar Timu zote zimemaliza mchezo zikiwa pungufu wachezaji wawili wa Mamelodi Sundowns wakioneshwa kadi…