
YANGA V GEITA GOLD,NGOMA ILIPIGWA HIVI,NABI MAJANGA
KAZI ilikuwa kubwa kwenye msako wa ushindi Uwanja wa Mkapa kati ya Yanga dhidi ya Geita mwisho wa siku bahati ikawa kwa upande wa Yanga. Geita Gold waliweza kuonyesha burudani makini ila mwisho wakapoteza kwa penalti 7-6 dk 90 zilikamilika kwa kufungana bao 1-1 ilikuwa namna hii msako wa kutinga nusu fainali:- Yaliyolenga lango Kwa…