
RALF AFUNGUKIA JUU YA KOCHA MPYA NA POGBA
KOCHA wa muda ndani ya kikosi cha Manchester United Ralf Rangnick amesema kuwa kwa sasa hawezi kuzungumza kuhusu hatma ya kiungo wa timu hiyo Paul Pogba. Wakati huo pia Rangnick anaamini kwamba Erik ten Hag ambaye amepewa kandarasi ya kuwa Kocha Mkuu wa timu hiyo ni moja ya makocha wazuri ambao United imewapata. “Nina uhakika…