
LIVERPOOL KAZINI LEO DHIDI YA NEWCASTLE
KLABU ya Liverpool leo Aprili 30,2022 inatarajiwa kusaka pointi tatu mbele ya Newcastle United katika mchezo wa Ligi Kuu England. Ni katika Uwanja wa St James Park mchezo huo unatarajiwa kupigwa ambapo kila timu inahitaji ushindi. Liverpool ipo nafasi ya pili ikiwa na pointi 79 baada ya kucheza mechi 33 huku vinara wakiwa ni Manchester…