
BEKI HUYU ATAJWA KUWA KWENYE RADA ZA YANGA
BEKI wa kazi Wilson Nangu miongoni mwa wachezaji ambao wanavuja jasho ndani ya JKT Tanzania ambayo ipo ndani ya 10 bora anatajwa kuwa kwenye rada za mabosi wa Kariakoo ambao ni Simba na Yanga wote wakiwa katika hesabu za kuinasa saini yake. Ipo wazi kuwa katika eneo ambalo JKT Tanzania haijawa imara sana ni eneo…