
BEKI WA KAZI AINGIA ANGA ZA SIMBA
KLABU ya Simba ipo katika mazungumzo na beki la kazi raia wa Cameroon, Jean Jospin Engola kwa ajili ya kuimarisha ukuta wa timu hiyo kuelekea msimu ujao. Simba huenda ikaachana na mabeki wake wa kati akiwemo Pascal Wawa na Erasto Nyoni, hivyo ipo katika mawindo ya kusajili beki mwingine wa kimataifa kuziba nafasi hiyo. Akizungumza…