MASTAA HAWA OUT YANGA, KUIKOSA AL HILAL KIMATAIFA

WAKIWA kwenye maandalizi ya mwisho kuelekea mchezo wa kimataifa dhidi ya Al Hilal unaotarajiwa kuchezwa Jumapili ya Januari 12 2025 nchini Mauritania Yanga kutoka Tanzania itawakosa wachezaji watatu kwenye uwanja kwa kuwa hawapo kwenye mpango wa benchi la ufundi. Ni Uwanja wa de la Capitale watashuka Yanga chini ya Kocha Mkuu, Sead Ramovic kusaka pointi…

Read More

SIMBA YAPIGA HESABU NDEFU KIMATAIFA

MWENYEKITI wa Simba, Murtanza Mangungu amesema kuwa kwa sasa mpango mkubwa ni kupata matokeo kwenye mechi zijazo hivyo masuala ya kufikiria nani atapata nini kwa sasa iwekwe kando na badala yake nguvu iwe kwenye kupata ushindi. Ikumbukwe kwamba Simba ipo kwenye kundi ambalo lina ushindani mkubwa kwa timu tatu kuwa kwenye ubora katika mechi za…

Read More

MASHABIKI SIMBA WAPEWA KAZI NZITO KIMATAIFA

“Kwenye mechi zetu mbili tulizocheza Uwanja wa Mkapa mashabiki hawakujitokeza kwa wingi hivyo kuelekea mchezo wetu wa funga kazi dhidi ya Costantine wajitokeze kwa wingi na tunahitaji kuona Uwanja wa Mkapa unajaa.” Ni maneno ya Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano Simba, Ahmed Ally ikiwa ni kazi maalumu kwa mashabiki wa timu hiyo inayopeperusha…

Read More

MZIZE KWENYE HESABU KUBWA KIMATAIFA

MSHAMBULIAJI wa Yanga, Clement Mzize amesema kuwa furaha kubwa ni kuona wanaendelea kuwa kwenye mwendelezo wa kupata matokeo kwenye mechi za kimataifa ili kufanikisha malengo ya kutinga hatua ya robo fainali Ligi ya Mabingwa Afrika. Yanga ikiwa Uwanja wa Mkapa iliibuka na ushindi wa mabao 3-1 TP Mazembe huku kamba mbili zikifungwa na Mzize na…

Read More

MTAMBO WA KAZI YANGA WAREJEA KAMILI GADO

MWAMBA wa Lusaka Clatous Chama kiungo wa Yanga amerejea uwanja wa mazoezi baada ya kuwa nje kwa muda kwa kuwa hakuwa fiti. Chama alipata maumivu ya mkono katika mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya TP Mazembe uliochezwa Desemba 14 2024 na ubao ukasoma TP Mazembe 1-1 Yanga. Bao la Yanga lilifungwa na Prince…

Read More

MATAJIRI WA DAR WAMEANZA KAZI 2025

MATAJIRI wa Dar, Azam FC wamerejea mazoezini ndani ya mwaka mpya 2025 kuendeleza ushindani katika mechi zijazo kutoka Ligi Kuu Tanzania Bara ambayo ni namba sita kwa ubora Afrika. Mchezo wa funga kazi 2024 kwa Azam FC ilikuwa dhidi ya JKT Tanzania uliochezwa Uwanja wa Azam Complex ilikuwa Desemba 27 2024 na baada ya dakika…

Read More

SIMBA MOTO ULEULE, WAWAVUTIA KASI WAPINZANI WAO KIMATAIFA

UONGOZI wa Simba umebainisha kuwa ushindi mbele ya SC Sfaxinekwenye mchezo wa kimataifa uliochezwa nchini Tunisia sio mwisho wa mapambano kazi bado inaendelea katika mechi zijazo kimataifa. Kwenye mchezo huo Januri 5 2025 Simba ilipata ushindi wa bao 1-0 ambalo lilidumu mpaka mwisho wa mchezo mtupiaji akiwa ni kiungo mshambuliaji Jean Ahoua dakika ya 34…

Read More

Jumamosi Ya Kutimiza Ndoto Zako Hii Hapa

Baada ya kushuhudia mbilinge mbilinge za wikendi, sasa ni zamu ya kushuhudia wakali wengine wakichuana vikali siku ya leo. Kuanzia kule Uingereza, mpaka Italia kuna mechi za kukakata na shoka. Ingia www.meridianbet.co.tz na ubashiri sasa. Tukianza na Italia leo hii kuna fainali kubwa kabisa ya SUPER CUP kati ya Inter vs AC Milan ambayo hii…

Read More

DROO YA CHAN KUFANYIKA KENYA JANUARI 15, 2025

Shirikisho la soka Afrika (CAF) limetangaza kuwa droo ya michuano ya CHAN 2024 itafanyika nchini Kenya, huku kukiwa na shaka juu ya uenyeji wa michuano hiyo nchini humo. Michuano hiyo inayozikutanisha timu za taifa kwa upande wa wachezaji wanaocheza ligi za ndani, imepangwa kufanyika kuanzia tarehe 1 hadi 28 Februari 2025 katika nchi za Kenya,…

Read More