
MUONEKANO WA UKURASA WA MBELE GAZETI LA CHAMPIONI JUMAMOSI
MUONEKANO wa ukurasa wa mbele gazeti la Championi Jumamosi
MUONEKANO wa ukurasa wa mbele gazeti la Championi Jumamosi
TUISILA Kisinda kiungo wa Yanga ameweka wazi kuwa amereja kwa mara nyingine kufanya kazi ndani ya kikosi hicho kinachonolewa na Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi. Winga huyo wa Yanga amerejea kwa mara nyingine ndani ya Yanga baada ya kuuzwa msimu uliopita ndani ya kikosi cha RS Berkane ya nchini Morocco. Amerudi kwa mara nyingine kuitumikia Yanga…
UONGOZI wa Yanga umebainisha kwamba hauna tatizo na wapinzani wao kwenye anga la kimataifa Mamelodi Sundowns kwa kuwa vita yao ni ndani ya dakika 90 uwanjani. Yanga wameweka wazi kuwakama kuna mashabiki wao ambao wapo Tanzania wajitokeze kwa wingi uwanjani kikubwa ni kuona wanapata burudani kwenye mchezo huo wa kimataifa unaotarajiwa kuwa na ushindani mkubwa….
TAZAMA namna Simba Queens walivyotwaa ubingwa mwanzo mwisho Uwanja wa Azam Complex, Agosti 27 kwa ushindi wa bao 1-0 dhidi ya She Corprote kwenye mchezo wa Fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika, ukanda wa CECAFA
KUNA mgawanyo wa vita ya pande nne kwa sasa ile ya kwanza ni ya ubingwa kwa timu zilizo ndani ya tano bora kinara akiwa ni Yanga mwenye pointi 58 anafuatiwa na Simba pointi 57 hizi mbili zimecheza mechi 22 kila mmoja. Azam FC nafasi ya tatu kwenye msimamo pointi 48, Singida Black Stars nafasi ya…
EVERTON yaivuta shati Arsenal ndani ya Ligi Kuu England baada ya kuwatungua kwenye mchezo wao walipokutana. Baada ya dakika 90 ubao wa Uwanja wa Goodison Park ulisoma Everton 1-0 Arsenal ambao ni vinara wa ligi. Bao pekee la ushindi kwenye mchezo huo lilipachikwa kimiani na James Tarkowski dakika ya 60. Huo ulikuwa ni ushindi wa…
Beki kisiki wa klabu ya Yanga SC Ibrahim Hamad ‘Bacca’ amepandishwa cheo na Kikosi Maalumu cha Kuzuia Magendo Zanzibar (KMKM) kutoka Koplo na kuwa Sajenti kutokana na kuonesha kiwango bora kwenye mchezo wa soka. Akizungumza baada ya zoezi hilo Sajenti Ibrahim Bacca ambaye wazazi wake pia ni askari amesema “Sina budi kushukuru kikosi changu kwa…
CRISTINA Mwagala, Ofisa Habari wa KMC amesema kuwa kesho watakuwa kwenye msako wa pointi tatu muhimu dhidi ya Biashara United kwenye mchezo wa ligi ambao ni wa mzunguko wa pili
KAULI ya Bobosi anayewindwa na Yanga kwa ajili ya kumpa dili kwenye dirisha dogo la usajili
MWAMBA Pacome ndani ya Yanga anafunga na kutoa pasi za mabao hajawa ndani ya uwanja kwa muda akipambania hali yake, taratibu anarejea kwenye ubora wake.
MASHABIKI soka wa Tanzania, wanaweza kujishindia zawadi mbalimbali ikiwa pamoja na fedha kupitia kampeni ya Amsha Amsha iliyozinduliwa na kampuni ya michezo ya kubashiri ya M-Bet Tanzania na Halotel. Meneja Masoko wa M-Bet, Levis Paul alisema kuwa mbali ya zawadi ya fedha ya Sh50,000 kwa washindi wawili kwa siku, pia mashabiki wa soka wanaweza kujishindia…
MASTAA wa kikosi cha Simba ambao wamejiunga na timu hiyo Julai 18 wameanza mazoezi na wachezaji wengine waliotangulia. Chini ya Kocha Mkuu, Roberto Oliveira kikosi hicho kimeanza maandalizi ikiwa ni kwa ajili ya msimu wa 2023/24. Ikumbukwe kwamba ni Yanga walitwaa ubingwa msimu wa 2022/23 huku Simba ikigotea nafasi ya pili. Ni Che Malone Fondoh,…
KILA kona wapo juu hawa Arsenal wakiwa ni namba moja ukiweka kando Ligi Kuu England hata kwenye Kundi A katika Europa League ni namba moja. Ushindi wa mabao 3-0 walioupata dhidi ya Bodo/Glimt unawafanya wawe hapo nafasi ya kwanza kwenye mchezo uliochezwa usiku wa kuamkia leo. Ni mabao ya Eddie Nketiah dakika ya 23, Rob…
MABINGWA watetezi wa Kombe la Mapinduzi, Yanga leo wanakazi ya kusaka ushindi mbele ya KMKM mchezo unaotarajiwa kuchezwa saa 10:15 jioni. Ni Uwanja wa Amaan mchezo huo unatarajiwa kuchezwa mbele ya mashabiki wa timu hiyo ambao wamekuwa wakijitokeza kwa wingi kushuhudia burudani. Mchezo wa kwanza wa Yanga ilikuwa mbele ya Taifa Jang’ombe na iliweza kuibuka…
ZUBER Katwila, Kocha Mkuu wa Ihefu amesema kuwa kurejea kwao ndani ya Ligi Kuu Bara kumetokana na mipango mizuri iliyopangwa pamoja na ushirikiano kutoka kwa wachezaji. Ihefu ilishuuka ndani ya ligi msimu uliopita wa 2020/21 na sasa umerejea ndani ya ligi kwa ajili ya kuendelea na ushindani kwa mara nyingine tena. Katwila ameweka wazi kwamba…
DICKOSN Ambundo,beki wa Yanga ni miongoni mwa nyota ambao wataukosa mchezo wa leo Februari 27 dhidi ya Kagera Sugar. Job ambaye ni beki wa kati anaukosa mchezo wa leo kutokana na kuwa kwenye mwendelezo wa kutumikia adhabu ya kifungo cha mechi tatu ambacho alipata kutokana na kucheza mchezo usio wa kiungwana mbele ya Richardson Ng’odya…
Kila mtu amekuwa akiwa kupambana na maisha, vijana wengi wanawake kwa wanaume wako busy na harakati za mjini, kuna wengine ni wazee wa mishemishe yote kwa yote ili mkono uende kinywani. Sasa ngoja nikusogezee chimbo moja wapo linaloweza kukupatia mkwanja kila muda unapohitaji, ni ulimwengu maridhawa wa kasino ya mtandaoni kutoka Meridianbet. Kwenye ulimwengu huo…