
KELVIN NASHON:TUTATUMIA PLAN B KUIKABILI SIMBA
KIUNGO wa Geita Gold, Kelvin Nashon amesema kuwa anatambua wapinzani wao Simba ni imara lakini wao wataingia na plan mbili ikifeli ya kwanza watatumia ya pili ili kupata matokeo. Leo Agosti 17,2022 Simba inatarajiwa kuwakaribisha Geita Gold kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara utakaochezwa Uwanja wa Mkapa. Unakuwa ni mchezo wa kwanza kwa timu zote…