
HIVI NDIVYO SIMBA WATAIKABILI TABORA UNITED
VINARA wa Ligi Kuu Tanzania Bara Simba chini ya Kocha Mkuu, Fadlu Davids wamebainisha kuwa mchezo wao dhidi ya Tabora United hautakuwa mwepesi ila wamejipanga kuwakabili kwa mbinu uwanjani kwa kujituma mwanzo mwisho ndani ya uwanja. Simba ni namba moja kwenye msimamo wa ligi namba nne kwa ubora ni pointi 40 zipo kibindoni baada ya…