
NABI:HAITAKUWA KAZI RAHISI KUTWAA UBINGWA
NASREDDINE Nabi, Kocha Mkuu wa Yanga ameweka wazi kuwa ushindani kwenye ligi ni mkubwa jambo ambalo linawafanya wazidi kujipanga kwa mechi zao. Yanga ni mabingwa watetezi wa taji la ligi ambalo walitwaa msimu wa 2021/22 kutoka mikononi mwa watani zao wa jadi Simba. Timu hiyo imecheza mechi mbili na kukusanya pointi sita, ilishinda mabao 2-1…