
LIGI INAREJEA WACHEZAJI MUHIMU KUWA NA NIDHAMU
REKODI kwa wachezaji wale ambao wanafungiwa mechi zao kutokana na kuonyesha nidhamu mbaya katika Ligi Kuu Bara kwa msimu wa 2022/23 haipaswi kupewa nafasi. Wakati mwingine kwa sasa ni mwendelezo wa ligi baada ya muda wa mapumziko kutokana na mechi ambazo zilikuwa zinaendelea kwenye timu za taifa. Ukweli ni kwamba kurejea kwa ligi ni muhimu…