HOFU YATANDA SENEGAL KUUMIA KWA MANE

BAYERN Munich inaamini kwamba jeraha ambalo amepata Sadio Mane sio kubwa sana kuelekea kwenye Kombe la Dunia ingawa kwa sasa wanasubiri vipimo. Mane aliumia juzi wakati wa mchezo wa Bundesliga dhidi ya Werder Bremen na kuibuka na ushindi wa mabao 6-1. Kwa maumivu aliyopata nyota huyo aliondolewa uwanjani katika mchezo huo na sasa zimesalia siku…

Read More

YANGA YATINGA MAKUNDI KIMATAIFA UGENINI

YANGA wameandika historia kwa kupata ushindi ugenini na kutinga hatua ya makundi kwenye Kombe la Shirikisho Afrika. Ushindi pekee umepatikana kipindi cha pili kupitia kwa kiungo wa Yanga Aziz KI ambaye alianzia benchi kwenye mchezo wa leo. Dakika 45 za awali ni beki Kibwana Shomar alikuwa ni mwiba kwa wapinzani wao Club Africain ambapo alipiga…

Read More

KIMATAIFA:CLUB AFRICAIN 0-0 YANGA

DAKIKA 45 za kimataifa ugenini huku mpira wa darasani ukionekana kwa timu zote mbili kwenye mchezo wa Kome la Shirikisho Afrika. Ubao unasoma Club Africain 0-0 Yanga Kibwana Shomari ni miongoni mwa wazawa ambao wameonyesha kiwango kizuri kwenye mchezo wa leo akiwa amepiga mashuti mawili ambayo yamelenga lango. Pia eneo la kiungo yupo Sure Boy…

Read More

SINGIDA BIG STARS V SIMBA BALL LIMETEMBEA

HILO ball lililopigwa Uwanja wa Liti ni viwango vyajuu huku Simba wakipigishwa kwata ndani ya dakika 90 kutoka kwa walima alizeti Singida Big Stars. Kipindi cha kwanza walishuhudia bao la kwanza kutoka kwa Deus Kaseke aliyetumia pasi ya Said Ndemla dakika ya 11 likiwa ni bao la mapema kwa Simba kufungwa. Iliwabidi Simba wasubiri kipindi…

Read More

ISHU YA CHAMA KUFUNGIWA SIMBA YAJA NA JAMBO HILI

JUMA Mgunda, Kocha Mkuu wa Simba amesema kuwa wapo tayari kwa ajili ya mchezo wa leo dhidi ya Singida Big Stars huku akiwakosa nyota mbalimbali kutokana na sababu kadhaa. Miongoni mwa nyota hao ni pamoja na kiungo chaguo namba moja la Mgunda, Clatous Chama ambaye amefungiwa kucheza mechi tatu kutokana na kosa la kushindwa kusalimiana…

Read More

BEKI WA KAZI YANGA KUWAKOSA WAARABU LEO

KWENYE mchezo wa leo wa Kombe la Shirikisho kati ya Club Africain v Yanga mwamba Djuma Shaban hatakuwa sehemu ya kikosi.  Sababu kubwa ya nyota huyo kuwekwa kando kuwakabili Waarabu wa Tunisia ni kutokuwa fiti baada ya kupata maumivu kwenye mchezo wa kwanza. Yanga ina kibarua cha kusaka ushindi nchini Tunisia baada ya ule mchezo…

Read More

SIRI ZA WAPINZANI WA YANGA ZAVUJISHWA

KOCHA Mkuu wa Kipanga FC, Hassani Kitimbe amewaondoa hofu Yanga kwa kuwaambia wana nafasi ya kufuzu makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika kwa kuwafunga wapinzani wao, Club Africain ya nchini Tunisia. Timu hizo zitavaana katika mchezo wa Play-Off wa Kombe la Shirikisho keshokutwa Jumatano baada ya ule wa awali kutoka suluhu kwenye Uwanja wa Mkapa,…

Read More

MNIGERIA WA SIMBA AMPA NGUVU MGUNDA

JUMA Mgunda, Kocha Mkuu wa Simba ameweka wazi kuwa kazi ambayo anaifanya Victor Ackpan raia wa Nigeria kwenye kikosi hicho siyo ya kubezwa itaonyesha matokeo hivi karibuni. Nyota huyo hakuwa chaguo la kwanza la Mgunda kwenye mechi za hivi karibuni na alianzia benchi wakati ubao wa Uwanja wa Mkapa ukisoma Simba 5-0 Mtibwa Sugar.  Mgunda…

Read More

MADRID NA LIVER FAINALI YAO IMEBUMA

MABINGWA watetezi wa Ligi ya Mabingwa Ulaya, Real Madrid wataanza ugenini dhidi ya Liverpool na wababe PSG watavaana na Bayern Munich kwenye mechi za hatua ya 16 bora. Mechi za raundi hiyo zinatarajiwa kuanza kupigwa Februari 14 mpaka Machi 14, mwakani 2023 baada ya droo kuchezwa Novemba 7,2022. Liverpool na Real Madrid msimu uliopita zilikutana…

Read More