
VIDEO: UNAIKUMBUKA KAULI YA ASUKILE KABLA YA MCHEZO? HII HAPA
UNAIKUMBUKA kauli ya Asukile kabla ya mchezo dhidi ya Yanga? Hii hapa
UNAIKUMBUKA kauli ya Asukile kabla ya mchezo dhidi ya Yanga? Hii hapa
BAADA ya ushindi ambao wameupata mbele ya Tanzania Prisons kikosi hicho kimeibukia Mtwara. Yanga ilipata ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Tanzania Prisons mtupiaji akiwa ni Feisal Salum dakika ya 89 na kuipa ushindi timu hiyo. Sasa Yanga ni vinara wa ligi wakiwa wamecheza mechi 14 n kibindoni wana pointi 35 wanakutana na Namungo ambayo…
Wiki hii ule ukurasa raundi ya mtoano wa 16 bora utafungwa rasmi kwa michezo minne iliyosalia, ni Japan vs Croatia, Brazil vs Korea Kusini, Morocco vs Hispania, Ureno vs Uswizi. Ni mpaka kieleweke mshindi apatikane. Onesha makali yako ya kutabiri ukiwa na Meridianbet. Jumatatu Desemba 05 2022 Baada ya kuwafunga Hispania kwenye mchezo wao wa…
MOJA ya mchezo bora uliokamilika kwa Yanga kuitungua Tanzania Prisons dakika ya 89 bao 1-0 Uwanja wa Mkapa. Prisons ambao wnanolewa na Patrick Odhiambo nidhamu ya kujilinda ilikuwa kubwa dakika 45 za mwanzo huku umakini kwenye safu ya ushambuliaji ukiwa ni mdogo kwao. Pongezi kwa kipa wa Prisons Abel ambaye umakini wake kwenye kulinda lango…
MSHAMBULIAJI wa Timu ya Taifa ya Ufaransa Kylian Mbappe anakuwa mchezaji wa kwanza kwenye historia ya Kome la Dunia kufunga jumla ya mabao 8 kabla ya kugota kwenye miaka 24. Mbele ya mashabiki 40,989 nyota huyo leo ametupia mabao mawili wakati ubao ukisoma Ufaransa 3-1 Poland, Uwanja wa Al Thumama. Mbappe katupia mabao mawili dakika…
HIKI hapa kikosi cha Tanzania Prisons kinachotarajiwa kuanza kwenye mchezo wa ligi dhidi ya Yanga, Uwanja wa Mkapa:- Hussein Abel Ezekiel Mwashilindi Ibrahim Abraham Jumnne Elifadhili Yusuph Mlipili Omary Omary Salum Kimenya Ismail Mgunda Jermeia Juma Oscar Paul Edwin Balua
YANGA ina kazi ya kusaka pointi tatu mbele ya Tanzania Prisons inayozihitaji pia pointi hizo. Hiki hapa kikosi cha Yanga kinachotarajiwa kuanza namna hi:- Djigui Diarra Kibwana Shomari Joyce Lomalisa Yannick Bangala Ibrahim Bacca Khalid Aucho Feisal Salum Tuisila Kisinda Clement Mzize Aziz Ki Dickson Ambundo
JASHO la wanaume kwenye msako wa pointi tatu Uwanja wa Nyakumbu limegotea kwa kila mmoja kusepana pointi mojamoja. Baada ya dakika 90 ubao umesoma Geita Gold 2-2 Mtibwa Sugar. Said Ntibanzokiza alipachika bao la kuongoza dakika ya 34 kwa mkwaju wa penalti na alitoa pasi moja ya bao kwa Juma Luizio dakika ya 45+4 Kwa…
MWEZI wa shughuli huu hapa Desemba ambapo kila timu zina vigongo vya kazi kukamilisha mwaka 2022 na kuukaribisha 2023. Simba nao wana kazi kubwa kusaka pointi tatu kwenye mechi ambazo wanacheza kusaka pointi tatu. Kete za Simba ni 6 ambazo ni dakika 540 tayari wameshayeyusha 90 ndani ya uwanja.Vigongo viwili pekee watakuwa nyumbani na vigongo…
BAADA ya kufungiwa mechi tatu kwa kosa la kumshambulia kwa maneno mwamuzi wa kati na wapembeni Kocha Mkuu wa Yanga, Nasreddine Nabi ataibukia kwenye Uwanja wa Mkapa mchezo dhidi ya Coastal Union. Yanga ndani ya Desemba ina vigongo 7 ambapo Nabi kafungiwa kwenye mechi tatu kutokana na kosa hilo hicyo ni Cedric Kaze, kocha msaidizi…
STAA wa Timu ya Taifa ya Uruguay, Luis Suarez amesema kuwa inauma kusema kwaheri Kombe la Dunia. Nyota huyo hakuwa na chaguo baada ya timu hiyo kuondolewa mazima kwenye hatua ya makundi licha ya kupata ushindi kwenye mchezo wa mwisho. Uruguay waliinyoosha mabao 2-0 Ghana kwenye mchezo wa makundi na kukusanya pointi tatu lakini walikwama…
KUFUNGWA na Ihefu kumbe Yanga walijua kwamba watafungwa huku wakibainisha Yanga ni timu bora
MENEJA wa Idara ya Habari ndani ya kikosi cha Simba, Ahmed Ally aeweka wazi kuwa wanahitaji kuendelea kuwa na mwendelezo mzuri popote pale ambapo wanacheza ili kuwa imara na wamepunguza makosa kwenye mechi zao huku akitaja kuwa ilibaki kidogo afunge hat trick
NYOTA wa timu ya taifa ya England, Bukayo Saka anatarajiwa kuanza kikosi cha kwanza kwenye mchezo wa leo dhidi ya timu ya taifa ya Senegal. Huu ni mcheza kwanza kwa timu hizi mbili kukutana kwenye Kombe la Dunia na rekodi zinaonyesha kuwa hawajawahi kumenyana hata kwenye mchezo wa kirafiki. Ikumbukwe kwamba nyota huyo ambaye anakipiga…
MTAMBO wa mabao ndani ya Yanga Fiston Mayele kuanza kwake leo kikosi cha kwanza ni hatihati kwa kuwa hakufanya mazoezi na timu hiyo mwanzo. Kwa mujibu wa kocha msaidizi wa Yanga, Cedrick Kaze alisema kuwa Mayele hakufanya mazoezi na wenzake hivyo mazoezi ya mwisho yataamua yeye kuanza kwenye mchezo dhidi ya Tanzania Prisons. Mayele mwenye…