WANNE WA SIMBA KUIKOSA AZAM FC LEO KWA MKAPA

MASTAA wanne wa Simba wanatarajia kuukosa mchezo wa leo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Azam FC kutokana na sababu mbalimbali. Simba inayonolewa na Kocha Mkuu, Juma Mgunda leo Oktoba 27,2022 ina kibarua cha kusaka pointi tatu mbele ya Azam FC kwenye mchezo wa ligi unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa. Mgunda ameweka wazi kuwa maandalizi…

Read More

MKWANJA MREFU SIMBA YAPATA KUTOKA M BET

TIMU ya Wanawake, ya Simba Queens imeingia mkataba wa udhamini wa miaka mitano na kampuni ya michezo ya kubashiriki ya M Bet wenye thamani ya Tsh. bilioni moja.Kwa mujibu wa Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano Simba, Ahmed Ally amesema kuwa mkataba huo hauingiliani na mkataba wa timu ya wanaume.Sababu kubwa za kuweza kupata…

Read More

ONGALA APIGA HESABU KUIKABILI SIMBA

KALI Ongala, Kocha wa Washambuliaji ndani ya Azam FC amesema kuwa wamefanya maandalizi mazuri kwa ajili ya mchezo wao wa ligi dhidi ya Simba Kesho Azam FC ikiwa imetoka kupoteza kwa kufungwa mabao 2-1 dhidi ya KMC itakabiliana na Simba, Uwanja wa Mkapa. Ongala amesema anatambua uimara wa Simba nao wanawaheshimu hivyo watawakabili kwa tahadhari….

Read More

AZIZ KI: NINAPENDA KUFUNGA

 AZIZ Ki kiungo mshamuiaji wa Yanga amesema kuwa anapenda kufunga ama kutengeneza nafasi za mabao akiwa ndani ya uwanja. Nyota huyo ni ingizo jipya ndani ya Yanga ambapo alijiunga na kikosi hicho akitokea ASEC Mimosas. Oktoba 23,2022 alifunga bao la pili ndani ya ligi ambapo alimtungua Aishi Manula kwa pigo la faulo akiwa nje ya…

Read More

VIDEO: JEMBE: AZIZ KI BADO SANA ANAHITAJI MUDA

MWANDISHI mkongwe kwenye habari za michezo Jembe ameweka wazi kuwa Kocha Mkuu Nasreddine Nabi akipata nafasi ya kuwatumia mbele Aziz KI na Feisal inaweza kuwa bora kwa kuwa kuwa chini inakuwa haina msaada zaidi ya kucheza faulo na anaweza kupata kadi nyekundu, kiungo Aziz ki bado sana ndani ya Yanga kutokana na ubora wake zaidi…

Read More

NABI ABAINISHA UGUMU ULIOPO

KUELEKEA kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya KMC, Nasreddine Nabi, Kocha Mkuu wa Yanga ameweka wazi kuwa wapo tayari kuwakabili wapinzani wao. Kocha huyo amebainisha kuwa ratiba ni ngumu ndani ya ligi hivyo wanapambana nayo kwa ajili ya kupata matokeo. Nabi anaingia uwanjani akiwa na kumbukumbu ya kukusanya pointi moja mbele ya Simba…

Read More

KMC WAIVUTIA KASI YANGA

 BAADA ya kupata ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Azam FC kituo kinachofuata kwa KMC ni dhidi ya Yanga mchezo wa Ligi Kuu Bara unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa,Oktoba 26. Ofisa Habari wa KMC, Christina Mwagala amesema kuwa wapo tayari kwa ajili ya mchezo huo na wanaamini kwamba watapata matokeo. Kwenye msimamo KMC ipo nafasi…

Read More

SIMBA KUPATA ADHABU KISA MECHI YA YANGA

KLABU ya Simba SC inasubiri adhabu kutoka katika Bodi ya Ligi Kuu Bara kwa sababu ya kufikisha kadi za njano tano (5) katika mchezo mmoja ambazo ni kinyume na kanuni. Katika mchezo wa Oktoba 23, 2022, Derby ya Kariakoo, klabu ya Simba SC imepata kadi za njano tano huku watani wao wa jadi, Klabu ya…

Read More

NABI ISHU YAKE YA KUFUTWA KAZI IPO HIVI

 INAELEZWA kuwa Nasreddine Nabi amefikia makubaliano ya kuachana na Yanga kutokana na kushindwa kufikia malengo ambayo yalipangwa. Timu hiyo malengo makubwa ilikuwa ni kutinga hatua ya makundi Ligi ya Mabingwa Afrika iligotea kwenye hatua za mtoano kwa kuodolewa kwa jumla ya mabao 2-1 dhidi ya Al Hilal. Mchezo wao wa ligi dhidi ya Simba ilikuwa…

Read More