
ALIYEWASUMBUA YANGA NA KUSEPA NA TUZO AFUNGUKA
MCHEZAJI bora wa mchezo wa Ligi Kuu Bara uliochezwa Uwanja wa Isahmuyo, Wilson Nangu amesema kuwa amefurahi kupata tuzo hiyo akiwashukuru mashabiki pamoja na wachezaji kwa kufanya kazi kwa ushirikiano mkubwa. Ikumbukwe kwamba baada ya dakika 90 ubao ulisoma JKT Tanzania 0-0 Yanga hivyo wababe hao waligawana pointi mojamoja ndani ya dakika 90, kipindi cha…