
TUMCHANGIE MDAMU ANAHITAJI MSAADA FAMILIA YA MICHEZO
GERALD Mdamu aliyekuwa nyota wa kikosi cha Polisi Tanzania kwa sasa bado anaendelea kupambana kurejea kwenye ubora baada ya kuumia mguu walipopata ajali ya gari wakitokea mazoezini. Ilikuwa ni Julai 9,2021 ulimwengu wa mpira ulipatwa ganzi baada ya taarifa ya ajali hiyo ya gari kutokea na mchezaji ambaye alipata maumivu makubwa kuwa Mdamu. Reagan Senya…