MSHAMBULIAJI YANGA NI COASTAL UNION

MSHAMBULIAJI Yusuph Athuman ambaye ni mali ya Yanga kwenye mzunguko wa pili atakuwa ndani ya kikosi cha Coastal Union. Coastal Union wamemchukua nyota huyo kwa mkopo ili kuongeza nguvu kwenye eneo la ushambuliaji. Hakuwa na nafasi kikosi cha kwanza cha Yanga kutokana na ushindani wa namba ambapo ni Fiston Mayele alikuwa akianza kikosi cha kwanza.

Read More

MEZA YAPINDULIWA KIBABE KWA CHELSEA UGENINI

NYOTA Serge Aurier bao lake la kwanza akiwa na Nottingham Forest dakika ya 63 liliuzima mkwaju wa Raheem Sterling  dakika ya 16 na kuwafanya wasumbufu hao wa Premier League kupata sare ya kufungana  1-1 waliyostahili dhidi ya Chelsea.  Mchezo huo ulichezwa  kwenye Uwanja wa City Ground.  Forest waliingia uwanjani wakijua ushindi ungewaondoa kwenye eneo la kushushwa daraja lakini…

Read More

KOCHA HUYU HAPA KUTAMBULISHWA SIMBA

ROBERTINHO Oliviera raia wa Brazil anatajwa kumalizana na mabosi wa Simba kwa ajili ya kupewa mikoba ya Zoran Maki. Ikumbukwe kwamba baada ya Maki kusepa ndani ya kikosi cha Simba mwanzoni mwa msimu wa 2022/23 alikabidhiwa timu Juma Mgunda ambaye alitajwa kuwa atakuwa ni kocha mkuu wa muda. Kocha huyo alikuwa anainoa timu ya Vipers…

Read More

KIUNGO MZAMIRU NI MVIVU,MVIVU KWELIKWELI

KIUNGO mzawa ndani ya kikosi cha Simba, Mzamiru Yassin ni mvivu,mvivu,mvivu haswa kwenye kuongea lakini akiwa uwanjani anavunja jasho kwelikweli. Mara chache kumkuta akizungumza na hata akizungumza hana maneno mengi zaidi ya tunasmhurku Mungu na maandalizi yapo vizuri. Eneo lake la kati kwenye ukabaji bado Simba haina mbadala wake mzawa ikiwa atasepa kwenye kikosi cha…

Read More

AZAM FC YAFUNGA MWAKA KIBABE

UBAO wa Uwanja wa Azam Compex baada ya dakika 90 ulisoma Azam FC 6-1 Mbeya City na kuwafanya matajiri hao kufunga mwaka kibabe. ni Sopu alitupia kambani mabao mawili, Prince Dube, Keneth Muguna ,Nado na Mkandala walitupia bao mojamoja. Mchezo huo ulichezwa Uwanja wa Azam Complex ulikuwa ni wa kufungia mwaka 2022. Bao la Meya…

Read More

HUKU NDIKO AMEIBUKIA FEI TOTO

2023 kiungo wa mpira mwenye mkataba na Yanga mpaka 2024 umemkutia akiwa ndani ya Dubai ambapo amekwenda kwa ajili ya majukumu yake. Nyota huyo mwenye mabao sita na pasi mbili za mabao amekuwa kwenye mvutano na mabosi wa timu yake kuhusu mkataba wake. Fei mwenyewe amewaaga mashabiki na kuwashukuru viongozi kwa muda ambao ametumika ndani…

Read More

WATATU SIMBA WAPENYA KUWANIA ZAWADI YA MWAKA

NYOTA watatu wa kikosi cha Simba wamepenya kwenye hatua ya kuwania tuzo ya mchezaji bora. Ni tuzo ya kufungia mwaka 2022 ya Mchezaji Bora wa Mashabiki (Emirate Aluminium Profile Simba Fans Player of the Month). Atakayesepa na tuzo hiyo atakuwa amefungua zawadi ya kwanza kutoka kwa mashabiki kwa 2023 kutoka kwa mashabiki. Ni kiungo Clatous…

Read More

AZIZ KI AMTUNGUA KIMWERI

UBAO wa Uwanja wa Manungu unasoma Mtibwa Sugar 0-1 Yanga. Bao la Aziz KI dakika ya 26 linaipa uongozi timu hiyo inayonolewa na Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi. Pigo la faulo iliyoonekana kutokuwa na hatari ilimduwaza kipa wa Mtibwa Sugar Razack Kimweri ambaye alikutana na mpira nyavuni. Ukuta wake wa wachezaji watatu ambao aliwapanga pamoja na…

Read More

WAKULIMA WAZABIBU WAFUNGA MWAKA KWA USHINDI

DODOMA Jiji waliibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Kagera Sugar kwenye mchezo wa kufungia mwaka 2022. Ni mabao ya Mwaterema dakika ya 24 na Opare dakika ya 66 yalitosha kuzamisha jahazi la Kagera Sugar inayotumia Uwanja wa Kaitaba kwenye mechi za nyumbani. Ushindi huo unaifanya Dodoma Jiji kufikisha pointi 21 ikiwa nafasi ya…

Read More

BATO YA WATANI WA JADI KUPIGWA APRILI

BATO ya watani wa jadi ndani ya 2023 inatarajiwa kuwa ni Aprili 9 ndani ya Ligi Kuu Bara kwenye mzunguko wa pili wa 2022/23. Mtanage wa kwanza wababe hawa wenye ngome zao pale Kariakoo ubao wa Uwanja wa Mkapa ulisoma Simba 1-1 Yanga. Watupiaji wote walitupia mabao yao ndani ya kipindi cha kwanza ikiwa ni…

Read More