
YANGA WANAKIMBIZA KILA KONA BONGO
YANGA hawacheki na wowote huko ni spidi ndefu kila kona kutokana na rekodi ambazo zinaandikwa na wachezaji wao uwanjani katika eneo la kufunga na kutoa pasi za mabao, iwe wameanza kikosi cha kwanza ama wameanzia benchi. Mchezo dhidi ya Mashujaa uliochezwa Uwanja wa Lake Tanganyika, Februari 23 2025 baada ya dakika 90 ubao ukasoma Mashujaa…