
VIDEO:MAYELE ATOBOA SIRI KUPIWA SIMU NA KIUNGO SIMBA
FISTON Mayele mshambuliaji wa Yanga amefungukia ishu ya kupigiwa simu na kiungo wa Simba, Mzamiru Yassin ambaye alimchezea faulo mbaya kwenye mchezo wa Kariakoo Dabi
FISTON Mayele mshambuliaji wa Yanga amefungukia ishu ya kupigiwa simu na kiungo wa Simba, Mzamiru Yassin ambaye alimchezea faulo mbaya kwenye mchezo wa Kariakoo Dabi
SIO Simba wala Yanga kwenye anga za kimataifa hakuna mwenye kazi nyepesi kutokana na mechi zao wote kuwa ngumu katika hatua ya robo fainali. Kwa mashabiki wakati huu lazima kuungana na kufanya kazi moja kushangalia timu zao huku wachezaji nao akili zao zikiwa kwenye mechi uwanjani. Kwenye hatua za robo fainali ambacho kinaangaliwa ni ushindi mechi zote…
Ligi mbalimbali Duniani kuendelea wikendi hii huku kila timu ikihitaji kusaka pointi 3 muhimu ili kusalia kwenye ligi, wengine wakipambania Ubingwa na wengine wakipambani kusalia kwenye ligi. EPL, Bundesliga, NBC, Serie A, Laliga Ligue 1 hizo ni zile kubwa duniani lakini pia kuna zingine kutoka nchini mbalimbali zitapigwa. Ligi ya Ufaransa Ligue 1 itaendelea wikendi…
AHMED Ally, Meneja wa Idara ya Habari na MawasilianoSimba amesema wataushangaza ulimwengu kwa kuwapelekea moto wapinzani wao Wydad Casablanca kwenye mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika. Timu hiyo inayonolewa na Kocha Mkuu, Roberto Oliveira inatarajiwa kusaka ushindi kwenye mchezo unaotarajiwa kuwa na ushindani mkubwa. Ally amesema kuwa wamekuwa na muda mzuri kufanya maandalizi kwa mchezo…
Shindano hili linakuletea furaha na zawadi bomba kutoka kwa Mascot na Meridianbet kasino ya mtandaoni! Shindano la Spring Mascot linafanyika kuanzia tarehe 21 hadi 27 Aprili kupitia kasino ya mtandaoni ambapo litakupa sababu halisi ya kwa nini Spring ni msimu mzuri zaidi. Furahia michezo iliyochaguliwa na shindania mgao wako wa TZS 2,500,000. JUMLA YA ALAMA…
AHMED Ally, Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano Simba amesema mchezo wao dhidi ya Wydad ni kubwa na yenye hadhi ya kipekee na ukubwa wa mechi hiyo watu wanataka kumuona mnyama akirejea historia ya kuwavua ubingwa Zamalek
KLABU ya Sevilla imetinga hatua ya nusu fainali Europa League kwa jumla ya ushindi wa mabao 5-2 Manchester United. Katika mchezo wa robo fainali wa pili wameibuka na ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Manchester United uliochezwa Aprili 20. Mabao ya Sevilla yalifungwa na Youssef En Nesyri ambaye alipachika mawili dakika ya 8,81 na moja…
Kutoka Nigeria….Muziki wa Yanga waitisha Rivers,Yanga yaipa Simba milioni 188.9 ñdani ya Championi Ijumaa
ALLY Kamwe, Ofisa Habari wa Yanga amewachambua wapinzani wao kwenye Kombe la Shirikisho Afrika ambao ni Rivers United. Msafara wa Yanga tayari umeanza safari mapema leo Aprili 20 2023 kuwafuata wapinzani hao Nigeria
MANCHESTER City inatinga hatua ya nusu fainali UEFA Champions League kwa jumla ya ushindi wa mabao 1-4. Katika mchezo wa robo fainali uliochezwa Allianz Arena ubao ulisoma Bayern Munich 1-1 City. City ilianza kupata ushindi kupitia kwa Erling Haaland dakika ya 57. Ni Joshua Kimmich dakika ya 83 alipachika bao katika mchezo huo kwa pigo…
Kampuni ya Meridianbet leo hii imefika katika eneo la Vingnguti relini na kuweza kuzindua duka jipya la ubashiri ambalo litawafanya wakazi wa eneo hilo waweze kubashiri kwa urahisi zaidi. Lakini pia wameletewa mashine mpya zenye ubora kutoka Ulaya hayo yote yakiwa na mambo ya Meridianbet. Meridianbet wameona uhitaji mkubwa wa kuzindua maduka karibu kila…
NASREDDINE Nabi, Kocha Mkuu wa Yanga, amesema washambuliaji wake ikiwa ni Fiston Mayele na Kennedy Musonda wanapaswa kuongeza umakini kwenye kutumia nafasi wanazopata ili kufunga mabao mengi. Yanga ni vinara wa Ligi Kuu Bara msimu huu, kibindoni wana pointi 68 baada ya kucheza mechi 26, tofauti ya pointi tano na watani zao wa jadi Simba…
LICHA ya kazi kubwa ambayo aliifanya Mzamiru Yassin kwenye Kariakoo Dabi kuna faulo za hatari alizicheza mtindo wa nge kwa nyota Fiston Mayele. Hakika Mayele kuna wakati aliomba poo na alikasirika kwelikweli kutokana na kuchezewa faulo na kiungo Mzamiru. Ile iliyompa maumivu makubwa ilichezwa dakika ya 46 na Mzamiru wakati akiokoa hatari kuelekea kwenye lango…
TAYARI wawakilishi wa Tanzania kwenye anga za kimataifa Yanga katika Kombe la Shirikisho Afrika wameanza safari kuibukia nchini Nigeria. Yanga inayonolewa na Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi ina kazi ya kusaka ushindi dhidi ya Rivers United ya Nigeria ambao ni hatua ya robo fainali. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa Aprili 23,2023 ambapo mchezo huo baina ya Rivers…
AHMED Ally, Meneja wa Idara ya Habari amesema kuwa kwa sasa ambacho wanakifikiria ni ushindi dhidi ya Wydad ambao ni hatua ya robo fainali. Tayari wapinzani hao wamewasili Tanzania Aprili 19 wakiwa kamili kwa ajili ya mchezo huo ambao utachezwa Uwanja wa Mkapa, Jumamosi. “Hakuna jambo lingine lolote tunaweza kuwaza kwa sasa zaidi ya kumfunga…
YANGA Mafia yaenda Nigeria na Siri za kutinga nusu fainali,Chama,Baleke kikaangoni Simba