
FEI ATAJA SABABU ZA KUONDOKA YANGA,ISHU YA MKATABA
KIUNGO wa Yanga, Feisal Salum ameweka wazi kuwa hana tatizo na Yanga bali kuna masuala ambayo amekuwa akifanyiwa na viongozi hayapendi. Nyota huyo kwa sasa yupo kwenye mvutano na mabosi wa timu hiyo kuhusu suala la mkataba wake ambapo yeye anahitaji kuondoka huku Yanga wakiweka wazi kuwa mkataba wake bado unaishi mpaka 2024. Fei kwa…