
CHAMA, SAIDO MVURUGANO MTUPU SIMBA
MASTAA wawili ndani ya kikosi cha Simba, Saido Ntibanzokiza na Clatous Chama ni mvurugano mtupu kwenye kutengeneza pasi za mwisho ndani ya Ligi Kuu Bara msimu wa 2022/23. Yanga ambao ni vinara wa Ligi Kuu Bara wao mtambo wao wa mabao ni Fiston Mayele mwenye mabao 16 kibindoni. Wakati Chama ambaye ni kinara wa kutenegenza…