
MBILI ZA KAGERA MOJA TAMU MOJA CHUNGU
MWAMBA Anuari Jabir amepata dili a kwenda kufanya majaribio kwa muda wa siku 14 kutoka Klabu ya Ligi Kuu ya Ubelgiji (Pro League Belgium) Jumatatu ya Aprili 3 aliwasili salama Ubegiji kwa kwa ajili ya majaribio ya kuchezea timu hiyo na mipango ikienda sawa anaweza kumwaga wino huko. Jabir ni chaguo la kwanza la Kocha…