SERIKALI YAENDELEZA NEEMA KWA YANGA KIMATAIFA

MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam Albert Chalamila ameunga mkono hamasa ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kununua tiketi 1,000 za mchezo wa fainali kati ya Yanga dhidi ya USM Alger. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa, Jumapili ambapo hamasa zimeendelea kwa sasa mpaka Mei 28 siku ya mchezo. Rais Samia amekuwa…

Read More

BEKI HUYU AINGIA ANGA ZA MSIMBAZI

NICKSON Kibabage nyota wa Singida Big Stars anatajwa kuwa katika rada za Simba. Beki huyo ni chaguo la kwanza la Kocha Mkuu, Hans Pluijm ndani ya timu hiyo inayoshiriki Ligi Kuu Bara. Ni mabao manne ametupia ndani ya ligi Kati ya 32 yaliyofungwa na timu hiyo iliyo nafasi ya nne na pointi 51. Akiwa ndani…

Read More

MTIBWA SUGAR MKIA WAKE MGUMU

MTIBWA Sugar mkia wao wanaokula ni mgumu kutokana na kuwa ni namba moja kwa timu iliyotunguliwa mabao mengi zaidi ndani ya ligi. Yanga na Simba zinaogoza kwa timu ambazo zimefungwa mabao machache msimu huu wa 2022/23 baada ya mechi 28. Yanga imefungwa mabao 15 sawa na yale ambayo imefungwa Simba. Timu zote zikiwa zimecheza jumla…

Read More

WAKALI WA KUTUPIA KWA KUTUMIA MGUU WA KULIA

MASTAA wanne Bongo wakali wakutupia kwa kutumia mguu ule wa kulia. Ipo wazi kwamba Yanga wamesepa na taji la ligi baada ya kufikisha pointi 74 mkononi wana mechi mbili. Fiston Mayele katupia mabao 12 akitumia mguu wa kulia yupo zake ndani ya Yanga. Mayele ni namba moja kwa kutupia akiwa na mabao 16 kibindoni. Jeremiah…

Read More

MTIBWA SUGAR HESABU KWA KAGERA SUGAR

IKIWA imetoka kupoteza mchezo wake uliopita dhidi ya Polisi Tanzania tayari Mtibwa Sugar wameanza hesabu kwenye mchezo dhidi ya Kagera Sugar. Vinara wa ligi ni Yanga wakiwa wameshatwaa ubingwa walipokutana na Mtibwa Sugar, ubao wa Uwanja wa Manungu ulisoma Mtibwa Sugar 0-1 Yanga. Mei 15,2023 ubao wa Uwanja wa Ushirika Moshi ulisoma Polisi Tanzania 3-1…

Read More

SIMBA KAZI INAENDELEA NAMNA HII

WACHEZAJI wa Simba kesho Mei 24 wanatarajiwa kuwasili kambini kwa ajili ya maandalizi ya mechi za Ligi Kuu Bara. Timu hiyo chini ya Kocha Mkuu, Roberto Oliveira na Juma Mgunda wana kazi ya kuongoza kikosi hicho kwenye mechi mbili. Kutinga fainali kwa Yanga kwenye Kombe la Shirikisho Afrika kumefanya mabadiliko hayo ndani ya ligi. Ikumbukwe…

Read More

NGOMA ILIKUWA NZITO KWA WAKULIMA, JANGWANI WAKAPETA

KILA mmoja anafuata njia zake ambazo zitampa mafanikio akikwama kidogo kupotea ni hatua inayofuata asipojipanga itakuwa kazi nyingine. Ilikuwa hivyo Uwanja wa Liti, njia za Singida Big Stars wakulima wa alizeti njia ziliwagomea na zile za Yanga zikawapa ushindi baada ya dakika 90. Ngoma fainali ya Azam Sports Federation itakuwa ni Azam FC v Yanga,…

Read More

NEWCASTEL UNITED HAO LIGI YA MABINGWA ULAYA

SASA Newcastle United uhakika kushiriki Ligi ya Mabingwa Ulaya msimu ujao kwa mara ya kwanza tangu 2003 baada ya sare ya 0-0 dhidi ya Leicester. Kikosi cha Eddie Howe kilijihakikishia nafasi ya nne bora kwa kuonyesha uwezo mkubwa na kuwaacha wageni ambao walipiga shuti moja pekee kwenye lango la wapinzani. Newcastle walidhibiti mechi lakini walichanganyikiwa…

Read More

MWAMBA HUYU HAPA KWENYE HESABU ZA SIMBA

THIERRY Manzi raia wa Rwanda anatajwa kuwa kwenye hesabu za mabosi wa Simba kwa ajili ya kujiunga na timu hiyo msimu ujao. Simba imepishana na ubingwa ambao upo mikononi mwa Yanga inayonolewa na Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi raia wa Tunisia. Yanga pia imetinga hatua ya fainali ya Azam Sports Federation iliposhinda mbele ya Singida Big…

Read More

YANGA HESABU KWENYE FAINALI KIMATAIFA

BAADA ya kukamilisha mchezo wao wa hatua ya nusu fainali ya Azam Sports Federation msafara wa Yanga umerejea salama Dar wakianza hesabu kwenye mchezo wao wa kimataifa. Ni Mei 21 kikosi kilikuwa Uwanja wa Liti, Singida na ubao ulisoma Singida Big Stars 0-1 Yanga. Bao pekee la ushindi lilipachikwa kimiani na Fiston Mayele ambaye aliingia…

Read More

AZAM FC WANA TAJI MOJA MKONONI LIKIYEYUKA NDO BASI TENA

HAKUNA Prince Dube, hakuna Ayoub Lyanga hata Abdul Suleiman, ‘Sopu’ naye ndani ya kuwania tuzo za Ligi Kuu Bara msimu wa 2022/23. Wakati mwingine tuzo huwa zinakuwa ni kipimo cha ubora na muda mwingine ni kipimo cha kuongeza hasira za mapambano. Haina maana kwamba wachezaji wa Azam FC hawana ubora haina maana kwamba waliotajwa kwenye…

Read More

UTATU HUU SIMBA UNA BALAA ZITO

UTATU wa nyota watatu ndani ya kikosi cha Simba kinachonolewa na Kocha Mkuu, Roberto Oliveira una balaa kutokana na kasi yao kwenye kufunga na kutengeneza nafasi za mabao. Ipo wazi kuwa Yanga ni mabingwa wakiwa na pointi 74 kibindoni na kinara wa utupiaji ni Fiston Mayele mwenye mabao 16. Nyota Mayele amekuwa kwenye ubora ndani…

Read More

JOB NI MVUJA JASHO KINOMANOMA

BEKI mzawa Dickson Job ndani ya kikosi cha Yanga ameweka rekodi ya kuwa mvuja jasho namba moja kwa wachezaji katika eneo la ukabaji. Nyota huyo kacheza mechi 22 akivuja jasho ndani ya dakika 1,890 kwenye kuipambania nembo ya jezi ya Yanga katika mechi za Ligi Kuu Bara. Job kutoka zilipo safu za milima ya Uluguru…

Read More