
YANGA 0-0 AZAM FC NUSU FAINALI NGAO YA JAMII
MIAMBA wawili ndani ya nusu fainali ya kwanza katika dakika 45 za mwanzo imetoshana nguvu mchezo wa Ngao ya Jamii. Ubao wa Uwanja wa Mkwakwani, Tanga unasoma Yanga 0-0 Azam FC. Katika dakika 45 za mwanzo nguvu na faulo kwa timu zote za Yanga na Azam FC zimetoshana ambapo kila timu imecheza jumla ya faulo…