BRUNO BADO YUPO SANA, MIGUEL NDO BASI TENA

KAZI imeanza ndani ya Singida Fountain Gate ambayo zamani ilikuwa inaitwa Singida Big Stars kwa kutambulisha nyota walioongeza mkataba pamoja na wale watakaosepa ndani ya timu hiyo. Timu hiyo ni mashuhuda Yanga wakisepa na ubingwa wa ligi huku wao wakigotea nafasi ya nne. Rasmi Juni 24 walifungua ukurasa wao mpya kwa kuanza kuwataarifu mashabiki kuhu…

Read More

MBEYA CITY MAMBO MAGUMU NGOMA MPAKA CHAMPIONSHIP

LICHA ya mashabiki wa Mbeya City kujitokeza kwa wingi Uwanja wa Sokoine mambo yamekuwa magumu kwa timu hiyo kusalia ndani ya Ligi Kuu Bara. Baada ya dakika 90 ubao umesoma Mbeya City 0-1 Mashujaa kutoka Kigoma wakipeta kwa ushindi wa jumla ya mabao 1-4. Katika mchezo wa kwanza uliochezwa Kigoma ubao ulisoma Mashujaa 3-1 Mbeya…

Read More

BREAKING:KOCHA MPYA YANGA HUYU HAPA

RASMI Miguel Angel Gamondi raia wa Argentina ametangazwa kuwa kocha mpya wa Yanga. Kocha huyo anachukua mikoba ya Nasreddine Nabi ambaye amefikia makubaliano ya kutongeza mkataba na timu hiyo. Nabi kwa misimu miwili aliyokuwa na kikosi cha Yanga ameiongoza kutwaa mataji mawili ya ligi mfululizo pamoja na kutinga hatua ya fainali ya Kombe la Shirikisho…

Read More

WANNE PANGA LIMEWAKUTA YANGA

MASTAA wanne wameachwa mazima ndani ya kikosi cha Yanga kuelekea kwenye mpango kazi wa kuunda kikosi kipya kwa msimu wa 2023/24. Juni 23 beki Abdallah Shaibu, ‘Ninja’ anafikisha idadi ya nyota wanne ambao hawatakuwa kwenye kikosi hicho kilichotwaa ubingwa wa ligi msimu wa 2022/23. Taarifa rasmi kutoka Yanga imeeleza kuwa: “Tunamshukuru Abdallah Shaibu (Ninja) kwa…

Read More

UWE MKUTANO UTAKAOLETA MATOKEO MAZURI

NGOJANGOJA huumiza tumbo imekuwa hivyo na itabaki kuwa hivyo kwa kile ambacho kinapatikana ni lazima kugawana kwa haki bila upendeleo. Mawazo mazuri ambayo yanakusanywa ni muhimu kufanyiwa kazi hasa ukizingatia kila kitu ambacho kinafanyika kinaanzia kwenye mpango kazi wa fikra. Ipo hivi Wanachama wa Yanga wanatarajia kufanya mkutano mkuu ambao huo upo kwa mujibu wa…

Read More

ORODHA YA MASTAA THANK YOU YAONGEZEKA

GADIEL Michael beki wa kushoto wa kikosi cha Simba msimu wa 2022/23 mkataba wake umegota mwisho na mabosi wa timu hiyo wamempa mkono wa asante. Beki huyo mzawa aliibuka ndani ya Simba akitokea kikosi cha Yanga 2019/20 ambapo amedumu kwenye kikosi hicho kwa misimu mitatu. Yanga ni mabingwa wa Ligi Kuu Bara msimu wa 2022/23…

Read More

YANGA YAMKOMALIA MTAMBO WA MABAO

WAKATI akiwa anatajwa kutaka kuondoka ndani ya kikosi cha Yanga mabosi wamemkomalia nyota wao mwenye mabao 24 katika mashindano ya Kombe la Shirikisho na Ligi Kuu Bara. Ni Fiston Mayele mwenye mabao 17 kwenye ligi akiwa na mabao 7 kwenye Kombe la Shirikisho Afrika na kote kasepa na kiatu cha mfungaji bora nyota huyo wa…

Read More

KIRAKA WA KAZI KUTOKA MSIMBAZI MALI YA NAMUNGO FC

NAMUNGO FC imemtambulisha rasmi nyota wa zamani wa Simba, Erasto Nyoni kuwa mali yao kwa msimu wa 2023/24. Nyoni ni kiraka anayefiti kila eneo ambalo atapangwa kucheza na benchi la ufundi iwe kwenye eneo la ukabaji, ulinzi na ushambuliaji uwezo wake unahamia Namungo. Uwezo mkubwa ni kutumia mguu ule wa kulia ambao umekuwa ukifanya kazi…

Read More

USAJILI SIMBA WAVUJA

KOCHA Mkuu wa Simba, Mbrazili, Roberto Oliveira ‘Robertinho’ amesema jumla ya wachezaji watatu tayari usajili wao umekamilika na kilichobaki ni kuwatambulisha. Timu hiyo imeshuhudia ubingwa ukienda Yanga iliyokamilisha msimu ikiwa namba moja na pointi 78. Yanga ipo kwenye mchakato . Wachezaji wanaotajwa kumalizana na Simba hadi hivi sasa kwa kuwapa mikataba ya miaka miwili ni…

Read More

HAWA HAPA WANAOTAKIWA MKUTANO MKUU YANGA

IKIWA imekamilisha msimu wa 2022/23 na mataji mkononi kesho Juni 24 Wanachama wa Yanga wanatarajiwa kufanya mkutano mkuu. Yanga imetwaa mataji yote iliyokuwa inapambania kwenye ardhi ya Bongo ikiwa ni pamoja na Ngao ya Jamii, ligi na Kombe la Azam Sports Federation. Kwenye anga la kimataifa Yanga katika Kombe la Shirikisho Afrika imegotea nafasi ya…

Read More

LEGEND MKUDE, NYONI THANK YOU HAZIWATOSHI

LEGEND Jonas Mkude anaingia katika orodha ya Thank You huku akinyimwa maua yake. Amevuja jasho kuipambania nembo ya Simba akiwa ni miongoni mwa nyota waliocheza mechi nyingi dhidi ya watani zao wa jadi Yanga hili sio jambo dogo ujue. Kupata nafasi kikosi cha kwanza mbele ya watani wa jadi Yanga katika kikosi cha Simba inaonyesha…

Read More