USAJILI WA SIMBA KIPA BADO MTIHANI MKUBWA

KWENYE usajili wa Simba katika dirisha lililofunguliwa hivi karibuni ni mzawa mmoja ametambulishwa ambaye ni David Kameta, ‘Duchu’. Moja ya mabeki wenye juhudi kwenye timu za kati amerejea ndani ya kikosi cha Simba anajukumu la kupambana kufikia uwezo wa kufanya kweli. Wapo wazawa wengi ambao waliibuka ndani ya Simba kutoka timu za madaraja ya kati…

Read More

JONAS MKUDE MOJA YA SAINI BORA NDANI YA YANGA

AMONG of the Quality sign hivyo tu basi unaweza kusema ikiwa utahitaji kueleza kuhusu usajili wa Yanga kwa kiungo wa kazi eneo la kati anayeitwa Jonas Mkude. Ni yeye Jonas Mkude hivi karibuni alipokuwa akizungumzia kuhusu yeye kuibuka ndani ya Yanga tetesi zilipokuwa nyingi hakuzungumza maneno mengi wala machache lakini yalikuwa na uzito mkubwa sana….

Read More

AZAM MATIZI KAMA YOTE TUNISIA

KIKOSI cha Azam FC kinaendelea na mazoezi Tunisia ikiwa ni maandalizi ya msimu mpya wa 2023/24. Timu hiyo ipo na wachezaji wake wapya ikiwa ni pamoja na Feisal Salum ambaye alikuwa ndani ya Yanga, Gubril Sillah ambaye ni kiungo. Sillah amesema kuwa ni furaha kuwa na timu hiyo na anaamini watafanya kazi kubwa msimu ujao….

Read More

BUKU YAMPA MAMILIONI SHABIKI WA YANGA

SHABIKI wa timu ya Yanga na Manchester United Ezekiel Mwang’onda (34) amesema ndoto yake ya miaka saba katika kubashiri imekuwa kweli baada ya kushinda kitita cha Shilingi Milioni 234,272,830 kupitia mchezo wa Perfect 12 wa kampuni ya michezo ya kubashiri ya M-Bet Tanzania. Mwang’onda ambaye ni mjasiriamali ameshinda mamilioni baada ya kubashiri kwa usahihi jumla…

Read More

YANGA KAZI IMEANZA, MAJEMBE YANANOLEWA

KIKOSI cha Yanga kimeanza mazoezi ikiwa ni maandalizi ya msimu wa 2023/24. Timu hiyo ya Yanga imeweka kambi Avic Town Kigamboni ikiwa chini ya Kocha Mkuu Miguel Gamondi. Miongoni mwa mastaa wa Yanga ambao wameanza mazoezi ni pamoja na ingizo jipya Gift Fred, Kennedy Musonda, Aboutwalib Mshery na Dickson Job. Majembe hayo yananolewa ikiwa ni…

Read More

SIMBA:BADO MASHINE NYINGINE ZINAKUJA

UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa wapinzani wao hawataamini macho yao kwa msimu mpya wa 2023/24 kutokana maandalizi wanayofanya. Roberto Oliveira amepewa jukumu la kuinoa timu hiyo iliyopishana na mataji yote msimu wa 2022/23 kuanzia Ngao ya Jamii, Ligi ya Mabingwa Afrika, Kombe la Mapinduzi, Azam Sports Federation na Ligi Kuu Bara yaliyokwenda Yanga. Maandalizi…

Read More

BEKI MPYA YANGA REKODI ZAKE ZIPO NAMNA HII

JULAI 11 Yanga imemtambulisha beki mpya Fred Gift ambaye anakuja kuongea nguvu katika kikosi hicho kilichotwaa ubingwa msim wa 2022/23. Mwamba huyo kutoka Uganda ni beki mwenye rekodi nzuri akiwa ndani ya uwanja hivyo ni suala la kusubiri kipi ataonyesha ndani ya Ligi Kuu Bara msimu wa 2023/24 akiwa na uzi wa Yanga.

Read More

VIDEO:KISUNGA ACHARUKA USAJILI WA SIMBA/BANDA/SAKHO

IKIWA ni wakati wa dirisha la usajili kwa timu zote Bongo Kisugu amefunguka kuhusu namna ya usajili unavyoendelea akimzungumzia Joash Onyango ambaye amekwenda Singida Fountain Gate. Onyango ni miongoni mwa mabeki bora ndani ya Simba lakini hatakuwa katika kikosi hicho na badala yake atakuwa ndani ya Singida Fountain Gate. Pia amezungumzia kuhusu usajili wa Fiston…

Read More

KOCHA MPYA YANGA, KAZE IMEISHA

KALBU ya Yanga imemtambulisha kocha msaidizi ambaye  ni Moussa Ndao raia wa Senegal. Anaungana na Miguel Angel Gamondi ambaye huyu ni mkuu kwenye benchi la ufundi ndani ya kikosi cha Yanga. Julai 11 Ndao alitambulishwa rasmi ndani ya Yànga ambao ni mabingwa watetezi. Anachukua mikoba ya Cedric Kaze ambaye alikuwa akifanya kazi na Nasreddine Nabi…

Read More

YANGA YATAMBULISHA JEMBE JIPYA

RASMI Julai 11 2023 Yanga imemtambulisha nyota mpya Gift Fred kutoka SC Villa ya Uganda kuwa mali yao. Nyota huyo tayari aliwaaga mashabiki na viongozi wa timu yake ya zamani kwa kuwaambia Thank You hivyo anakuja Bongo kwenye changamoto mpya. Yote haya ni maboresho ndani ya Yanga kwa ajili ya msimu mpya wa 2023/24 na…

Read More

SIMBA HAO NDANI YA UTURUKI

MSAFARA wa Simba unaonolewa na Kocha Mkuu, Roberto Oliveira leo Julai 11 umeanza safari kueleka Uturuki. Ni maandalizi ya msimu mpya wa 2023/24 unaotarajiwa kuanza Agosti ambapo kwa msimu wa 2022/23 walipishana na ubingwa uliokwenda Yanga. Simba ina kazi ya kuanza kwenye hatua ya nusu fainali ya Ngao ya Jamii dhidi ya Singida Fountain Gate…

Read More

MWAMBA KASEKE BADO YUPO NDANI YA SINGIDA FOUNTAIN GATE

NYOTA Deus Kaseke ni miongoni mwa wale watakaokuwa kwenye kikosi cha Singida Fountain Gate kwa ajili maandalizi ya msimu wa 2023/24. Timu hiyo kambi yake itakuwa Arusha baada ya mpango wa kuelekea Tunisia kusitishwa. Kaseke ni Legend ndani ya timu hiyo kutokana na uwezo wake kwenye eneo la kiungo na aliibuka hapo akitokea Yanga. Mchezo…

Read More

AZAM FC NDANI TUNISIA

KIKOSI cha Azam FC kimewasili jijini Sousse, Tunisia kwa kambi ya wiki tatu ya maandalizi ya msimu mpya 2023/24. Miongoni mwa nyota ambao wapo kwenye msafara huo ni pamoja na Feisal Salum, Ayoub Lyanda, Idris Mbombo. Timu hiyo ilipitia Dubai kabla ya kuibukia Tunisia kwa maandalizi ya msimu mpya. Mchezo wa kwanza kwa Azam FC…

Read More

UMAKINI HAUKWEPI MUDA WA MAVUNO

MAVUNO yanaongeza tabasamu hasa kila kitu kinapokwenda sawa ila inapokuwa tofauti hakuna ambaye anapata furaha katika hilo. Wahusika ni wote kuanzia mabingwa wa ligi ambao ni Yanga nao wana jukumu la kuongeza umakini kwenye usajili pamoja na maandalizi ya msimu ujao. Singida Fountain Gate nao inawahusu bila kuwasahau Namungo mpaka Geita Gold. Maisha mapya ndani…

Read More