
USAJILI WA SIMBA KIPA BADO MTIHANI MKUBWA
KWENYE usajili wa Simba katika dirisha lililofunguliwa hivi karibuni ni mzawa mmoja ametambulishwa ambaye ni David Kameta, ‘Duchu’. Moja ya mabeki wenye juhudi kwenye timu za kati amerejea ndani ya kikosi cha Simba anajukumu la kupambana kufikia uwezo wa kufanya kweli. Wapo wazawa wengi ambao waliibuka ndani ya Simba kutoka timu za madaraja ya kati…