
CAF YAJIRIDHISHA NA UWANJA WA BENJAMIN MKAPA, SIMBA YAPATA MATUMAINI MAPYA KWA FAINALI YA CAFCC
Taarifa za kuaminika ni kuwa maafisa wa CAF wameeleza kuwa wamejiridhisha uwanja wa Benjamin Mkapa upo vizuri kwa michuano ya CHAN 2025 mwezi August ( Kenya ) Pia TFF na Simba SC imeomba review ya kuchezea uwanja huo fainali ya CAFCC baada ya ukaguzi huo wa michuano ya CHAN na CAF wamekubali review hiyo na…