
KENGOLD 0-5 SIMBA SC, LIGI KUU BARA
UBAO wa Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi umesoma KenGold 0-5 Simba SC ikiwa ni mchezo wa ligi mzunguko wa pili. Ni Juni 18 2025 mchezo huo umekamilika ambapo kipindi cha kwanza Simba SC ilifunga mabao ndani ya dakika 30 na kipindi cha pili kiungo mshambuliaji Ahoua alipachika bao moja kwenye mchezo huo. Mabao ya Simba…