KIUNGO MBRAZILI KUPEWA MIKOBA YA LWANGA

IMEBAINIKA kuwa mabosi wa Simba wapo katika harakati za kumrudisha kiungo mkabaji Gerson Fraga raia waBrazil kwa ajili ya kuziba pengo la kiungo Taddeo Lwanga ambaye amekuwa na majeraha ya mara kwa mara Lwanga ameshindwa kuitumikia Simba katika ligi kuu mara baada ya kuumia katika mchezo wa marudiano wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi Jwaneng Galaxy ambapo katika mchezo huo Simba ilipoteza kwa kufungwa mabao 3-1. Simba kwa sasa wamekuwa wakiwatumia…

Read More

AMETIMULIWA KAMBINI KISA MAMELODI

Gilberto ametimuliwa kwenye kambi ya timu ya taifa ya Angola kabla ya mechi yao ya kufuzu kwa Kombe la Dunia dhidi ya Eswatini na Cameroon kutokana na kuchelewa kuwasili kambini na bila kuomba ruhusa baada ya kuitwa Kwenye kikosi hicho Gilberto amekuwa akihusishwa Kwa ukaribi zaidi kutua MAMELODI huku pia Yanga wakitajwa Kwa mbaaaaliiiii.

Read More

MERIDIANBET YATOA MSAADA WA NGUO ZA KUJIKINGA NA MVUA KWA MADEREVA BODABODA NA BAJAJI, WAFANYABIASHARA DAR

  Mitaa iliitika mitaa ikaukubali mziki wa Magwiji wa Odds kubwa, Nyumba ya Mabingwa wa michezo ya ubashiri na kasino ya mtandaoni, ufalme wa washindi Meridianbet pale walipopita mitaa mbalimbali ya Jiji la Dar Es Salaam na kuwashika mkono wapambanaji wote. Watu wengi walijitokeza kuona ni nini Meridianbet wamewaletea na hapo ndipo tabasamu lilipofunguka mithili…

Read More

YANGA WAKIMALIZA DINNER KUIBUKIA MBEYA NA NDEGE MAALUMU

INJINIA Hersi Said, Rais wa Yanga amesema kuwa watandoka na ndege maalumu leo Juni 5 kuelekea Mbeya ikiwa imelipiwa na Serikali. Yanga baada ya kufika fainali na kumaiza kwa ushindi dhidi ya USM Alger licha ya kushindwa kutwaa ubingwa walicheza mchezo wa ushindani katika kusaka nafasi ya kutwaa ubingwa lakini malengo hayakutimia. Kutokana na hayo…

Read More

HIKI HAPA KIKOSI CHA DODOMA JIJI DHIDI YA SIMBA

DODOMA Jiji watakuwa na kazi yakusaka pointi tatu dhidi ya Simba kwenye mchezo wa ligi unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa KMC huku nyota Abdi Banda na Ibrahim Ajibu wakianzia benchi. Ni Ngeleka Katembua, Augustino Nsata, Apollo Onyango, Salmin Hoza, Mwana Kibuta, Dickson Mhilu, Daud Milandu, Mukrin Issa, Paul Obata, Reliants Lusajo, Paul Kasunda. Akiba ni Lulihoshi…

Read More

AZAM FC MZIGONI LEO,RATIBA IPO HIVI

LEO Desemba 22 Ligi Kuu Bara inaendela huku mabosi wa Dar baada ya kutoka kulazimisha sare ya kufungana mabao 2-2 dhidi ya Mbeya City pale Azam Complex wana kibarua kingine tena. Azam FC itakuwa na kazi ya kusaka pointi tatu mbele ya Ruvu Shooting hawa waze wa mpapaso,pira gwaride pira pasi, Uwanja wa Azam Complex….

Read More

BEKI INONGA WA SIMBA APEWA TUZO YA MCHEZAJI BORA

BEKI wa Klabu ya Simba inayonlewa na Kocha Mkuu, Pablo Franco, Henock Inonga leo Mei 6 amekabidhiwa Tuzo ya Mchezaji Bora wa Mashabiki (Emirate Aluminium Simba ACP Fans Player of the Month) ya mwezi Aprili. Tuzo hiyo ameweza kuitwaa baada ya kuwashinda mabeki wenzake ambao ni Shomari Kapombe na Joash Oyango ambao waliingia kwenye fainali…

Read More

KOCHA:SIMBA ITAFUNGWA NA YANGA

KOCHA Mkuu wa RS Berkane ya Morocco, Florent Ibenge, ameitabiria Yanga kuondoka na ushindi mbele ya Simba katika mchezo wa dabi ya Kariakoo utakaochezwa leo Jumamosi katika Uwanja wa Mkapa,Dar. Ibenge ambaye aliwahi kuwa Kocha Mkuu wa AS Vita na timu ya taifa ya DR Congo, analifahamu vyema soka laTanzania akiwa amewahi kukutana na Simba na Taifa Stars. Kocha huyo ndiye anayewafundisha viungo wa zamani wa timu hizo, Clatous Chama na…

Read More

KIUNGO WA KAZI YAMEMKUTA YANGA

IMEELEZWA kuwa Yanga ipo katika hatua za mwisho na kiungo wake mshambuliaji, Mghana Augustine Okrah ya kusitisha kusitisha mkataba au kumtoa kwa mkopo ndani au nje ya nchi mwishoni mwa msimu huu. Kiungo huyo alikuwepo katika kikosi cha Simba, katika msimu uliopita kabla ya kuomba mkataba wake uvunjwe ili aende akatafute changamoto nyingine mpya nyumbani…

Read More

WIKIENDI YA MOTO NA MERIDIANBET TIMIZA NDOTO YAKO

Leo hii maliza wikendi yako ukiwa na jamvi la uhakika ndani ya wakali wa ubashiri Tanzania Meridianbet. Timu za ushindi zipo tayari kukupatia matokeo. Weka dau lako na ujihakikishie ushindi sasa. Kule Italia, SERIE A itaendelea kuvurumishwa vilivyo ambapo Inter Milan vinara wa ligi watamkaribisha AS Roma ambao wamechwa pointi 14 hadi sasa. Inzaghi anahitaji…

Read More

USAJILI WA YANGA KUITIKISA NCHI, ALLY KAMWE ATAMBA

OFISA Habari wa Yanga, Ally Kamwe, amefunguka kwamba, kabla ya dirisha dogo la usajili kufungwa Januari 15, mwaka huu, watatikisa nchi kwa usajili mkubwa watakaofanya. Usajili wa dirisha dogo ulifunguliwa Desemba 16, 2022 na unatarajiwa kufungwa Januari 15, 2023, huku Yanga ikiwa tayari imemsajili kiungo, Mudathir Yahya. Akizungumza na Spoti Xtra, Kamwe alifunguka kuwa: “Kwa…

Read More

SHINDA KITITA LEO KUPITIA RICH PANDA

Una nafasi ya kunyakua mkwanja leo kupitia mchezo wa Rich Panda ambao kwasasa umekua moja ya michezo ya Kasino inayopendwa na kutoa washindi wa mamilioni karibu kila siku, Hivo wewe mteja cheza mchezo huu leo uweze kushinda na kujiunga na timu ya mamilionea. Mchezo huu wa Rich Panda unatoa nafasi kubwa ya kuweza kushinda kitita…

Read More