YANGA:HATUNA MASHAKA KIMATAIFA, TUPO TAYARI

ALI Kamwe, Ofisa Habari wa Yanga amebainisha kuwa hawana mashaka na hatua ya robo fainali waliyofikia zaidi ni hesabu kwenye mechi za hatua hiyo kupata matokeo chanya. Yanga imakamilisha kundi D ikiwa ni namba moja kibindoni ilikusanya pointi 13 huku safu yake ya ushambuliaji ikiwa imetupia mabao 9. Inakibarua cha kusaka ushindi dhidi ya Rivers…

Read More

MUSSA CAMARA KWENYE MTEGO MZITO

KIPA namba moja wa Simba, Mussa Camara yupo kwenye mtego mzito kurejesha hali ya kujiamini katika kikosi cha kwanza kutokana na mwendo ambao amekuwa nao kwa sasa. Ikumbukwe kwamba kipa huyo kwenye mechi nne mfululizo ambazo alianza kikosi cha kwanza katika mechi za Ligi Kuu Bara hakufungwa na alikuwa imara kwenye kucheza na kutoa maelekezo…

Read More

THANK YOU KAKOLANYA

BENI Kakolanya kipa wa Simba anaingia kwenye orodha ya nyota ambao watakuwa kwenye changamoto mpya msimu ujao. Kipa huyo aliibuka ndani ya Simba akitokea kikosi cha Yanga ilichokuwa kinanolewa na Mwinyi Zahera. Ndani ya Yanga Kakolanya alifanya kazi kubwa ikiwa ni kwenye mchezo wa Kariakoo Dabi alipookoa hatari zaidi ya 7 na kuliweka lango salama….

Read More

FEISAL ANAFANYA KILE AKIPENDACHO

KIUNGO wa Azam FC inayotumia Uwanja wa Azam Complex kwenye mechi za nyumbani anafanya kile apendacho uwanjani kwa vittendo kutokana na kazi yake kuonekana ndani ya dakika 90 kwenye mechi ambazo anacheza. Ndani ya Azam FC, Feisal Salum ni namba moja kwa watengeneza pasi za mwisho akiwa ametengeneza jumla ya pasi tatu za mabao kati…

Read More

SIMBA YAWAFUATA AL AHLY MISRI KAMILI

WAWAKILISHI wa Tanzania katika Ligi ya Mabingwa Afrika wakiwa hatua ya robo fainali Simba wamekwea pipa kuelekea Misri kusaka ushindi dhidi ya Al Ahly. Huo ni mchezo wa robo fainali wa pili unaokweda kukamilisha dakika 180 katika Ligi ya Mabingwa Afrika na mshindi wa jumla anakwenda kutinga hatua ya nusu fainali Ligi ya Mabingwa Afrika….

Read More

YANGA KAMILI KUIVAA DODOMA JIJI

KUELEKEA mchezo wa kesho wa Ligi Kuu Bara kati ya Dodoma Jiji dhidi ya Yanga, benchi la ufundi la Yanga limeweka wazi kuwa kila kitu kipo sawa. Ni Nasreddine Nabi, Kocha Mkuu wa Yanga amesema kuwa namna ambavyo wanapata ushindi na kutopoteza mchezo morali na ari ya kupambana inaongezeka kutokana na mashabiki kushangilia. “Ni kitu…

Read More

SIMBA YAPOTEZA KARIAKOO DABI

KATIKA mchezo wa Kariakoo Dabi uliochezwa Desemba 22 ubao ulisoma Simba 0-4 Yanga kwenye NBC Premier League. Simba wakiwa wenyeji walishuhudia wakifungwa dakika ya 16 kupitia kwa Willyson Christopher, Shaban Ibrahim dakika 23, Ahmed Denis dakika ya 45 kwa mkwaju wa penalti, Hemed dakika ya 58. Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano Simba, Ahmed…

Read More

VIGOGO WAMEPATA TABU MBEYA

WAKATI leo Ihefu wakitarajiwa kumenyana na Simba kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara mzunguko wa pili rekodi zinaonyesha kuwa vigogo wengi wa Dar wamebuma kusepa na pointi tatu. Ihefu inayonolewa na Kocha Mkuu, John Simkoko na Zuberi Katwila ambaye ni msaidizi imekuwa na mwendo bora kwa mechi wanazocheza nyumbani. Yanga wao kete yao ya kutofungwa…

Read More

AIR MANULA KIMATAIFA MWENDO WAKE

HAKUNA anayejua itakuaje sasa kwenye hatua ya robo fainali baada ya Simba kufanikiwa kupenya hasa kwenye upande wa lango nani ataanza kati ya Aishi Manula,Beno Kakolanya ama Ally Salim. Weka kando kuhusu kufikiria nani ataanza lakini chaguo namba moja ni Manula ambaye amekuwa kwenye mwendelezo bora awapo langoni. Hapa tunakuletea namna nyota huyo alivyotimiza majukumu…

Read More

YANGA YAIVUTIA KASI TP MAZEMBE

Meneja wa Yanga, Walter Harson amesema kuwa walianza maandalizi kuelekea mchezo wao dhidi ya TP Mazembe wakiwa Uarabuni, Algeria hivyo kwa sasa ni mwendelezo kuwa imara ili kupata matokeo kwenye mchezo ujao wa hatua ya makundi. Katika mechi mbili za Ligi ya Mabingwa Afrika, Yanga ilikwama kusepa na pointi tatu zaidi ya kugotea kuzipoteza hivyo…

Read More

SIMBA YANYOOSHWA UWANJA WA KAITABA

Uwanja wa Kaitaba dakika 90 zimekamilika mbinu ya Pablo Franco imekwama mbele ya Kagera Sugar. Ni Hamis Kiiza dakika ya 70 aliwatungua Simba baada ya safu ya ulinzi kufanya makosa katika kuokoa shambulizi la kushtukiza. Hakuna sababu nyingine kwa Franco ambaye alikuwa kwenye uwanja mzuri wa kapeti wa Kaitaba kakwama kushinda ugenini. Simba inabaki na…

Read More

YANGA WASIMIKA MNARA MWINGINE HUKU

MABINGWA watetezi wa Kombe la Azam Sports Federation Yanga wamewafungashia virago katika raundi ya pili Hausing FC ya kutoka Njombe katika mchezo uliochezwa Uwanja wa Azam Complex. Dakika 45 za mwanzo mchezo ulikuwa ni wa upande mmoja kwa Yanga kumiliki zaidi na kufunga mabao 4-0 Hausing ambao angalau waliongeza ushindani kipindi cha pili walipofungwa bao…

Read More

SIMBA WATAJA SABABU YA KUSHINDWA KUPATA MATOKEO

PABLO Franco, Kocha Mkuu wa Simba amesema kuwa kuna ugumu mkubwa wa kupata matokeo kutokana na ubora wa viwanja pamoja na kushindwa kutumia nafasi ambazo wanazipata. Mechi mbili ugenini, Pablo kaambulia pointi nne huku akipoteza pointi mbili kwenye msako wa pointi sita, mchezo wake ujao ni dhidi ya Orlando Pirates ambao wa ni wa Kombe…

Read More

SIMBA WAWAFUATA WAARABU MOROCCO

WAWAKILISHI  wa Tanzania kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika Klabu ya Simba Desemba 5 2023 imeenza safari yakuelekea Morocco. Safari hiyo ni maalumu kwa ajili ya kuikabili timu ya Wydad Casablanca mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika. Ikumbukwe kwamba mchezo uliopita kwa Simba wakiwa ugenini dhidi ya Jwaneng Galaxy walishuhudia ubao ukisoma Jwaneng Galaxy 0-0 Simba….

Read More

YANGA YATUMA UJUMBE HUU KWA NAMUNGO

 MCHORA ramani wa Yanga ameweka wazi kuwa wanakabiliwa na mchezo mgumu kesho na watapambana kupata pointi tatu muhimu unatarajiwa kuchezwa saa 12:30 jioni. Sead Ramovic amebainisha kuwa maandalizi yapo vizuri na wapo tayari kwa ajili ya mchezo huo ambao utakuwa na ushindani mkubwa na malengo ni kuona wanapata pointi tatu muhimu. “Tuna mchezo mgumu mbele…

Read More

MUDA UMEWATENGANISHA SIMBA NA MKUDE

AMEANDIKA Ahmed Ally, Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano Simba kuhusu Jonas Mkude ambaye hatakuwa katika kikosi hicho kwa msimu wa 2023/24 namna hii:- Ameondoka mtu tunaempenda kweli, ameondoka mtoto wetu, mtoto wa nyumbani kwetu. Kwa miaka ya hivi karibuni hakuna mchezaji tumewahi kumpenda kama Jonas Mkude na tutaendelea kumpenda. Wakati Simba ina njaa,…

Read More