
MABINGWA WA AFRIKA, AL AHLY WAMESUKUMIZWA NJE YA MICHUANO YA KLABU BINGWA DUNIA KUFUATIA KIPIGO CHA 2-0
Mabingwa wa Afrika, Al Ahly wamesukumizwa nje ya michuano ya klabu Bingwa Dunia kufuatia kipigo cha 2-0 dhidi ya Mabingwa wa Amerika ya Kusini)CONMEBOL), Fluminense. FT : Fluminense ?? 2-0 ?? Al Ahly SC ⚽️ Jhon Arias 70’ ⚽️ John Kennedy 90’ Beki wa zamani wa Real Madrid, Marcelo alikuwa sehemu ya kikosi cha vigogo…