SIMBA SC vs SINGIDA BLACK STARS VITA YA POINTI TATU

BENCHI la ufundi la Simba SC limebainisha kuwa mchezo wao dhidi ya Singida Black Stars wanatambua utakuwa ni mgumu kutokana na uimara wa wapinzani wao ila wapo tayari kupambana kupata pointi tatu muhimu. Simba SC inayonolewa na Kocha Mkuu,Fadlu Davids imetoka kucheza mechi mbili za fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya RS Berkane…

Read More

GATES OF OLYMPIA SASA LIVE KWENYE MERIDIANBET – HII SI KAWAIDA, NI FURSA YA KISHINDO!

Meridianbet, kinara wa michezo ya kubahatisha nchini Tanzania, imezindua rasmi mchezo mpya wa kipekee unaoitwa GATES OF OLYMPIA, mchezo ambao umewasha moto Ulaya na sasa umefika Tanzania kupitia jukwaa lako pendwa, Meridianbet! ⚡ NI NANI ATAKAYEPITA KATIKA MILANGO YA OLYMPIA NA KUSHINDA MAMILIONI? Mchezo huu unakupeleka katika ulimwengu wa Miungu wa Kigiriki ambapo mungu wa…

Read More

KIPA SIMBA SC ATAJWA AZAM FC

KIPA wa Simba SC, Aishi Manula inaelezwa kuwa yupo kwenye rada za mabosi wa Azam FC ambao wanahitaji saini yake. Ipo wazi kwamba Manula kwa msimu wa 2024/25 hajawa chaguo la kwanza ndani ya kikosi hicho kinachonolewa na Kocha Mkuu,Fadlu Davids. Katika mechi za Ligi Kuu Tanzania Bara hajaanza langoni mchezo hata mmoja na kwenye…

Read More

SIMBA SC KAMILI KUIVAA SINGIDA BLACK STARS

SELEMAN Matola, kocha msaidizi wa Simba SC amesema kuwa wapo tayari kwa mchezo wao ujao wa ligi dhidi ya Singida Black Stars ambao ni mzunguko wa pili. Kwenye mchezo wa mzunguko wa kwanza uliochezwa Uwanja wa Liti baada ya dakika 90 ubao ulisoma Singida Black Stars 0-1 Simba SC. Bao la ushindi kwenye mchezo huo…

Read More

AZIZ KI AMEANZA KAZI NA TIMU MPYA

KIUNGO mshambuliaji mpya ndani ya kikosi cha Wydad Casablanca, Aziz Ki tayari ameanza mazoezi na timu hiyo mara baada ya kumtambulisha. Ikumbukwe kwamba Ki aliibuka ndani ya timu hiyo akitokea kikosi cha Yanga SC kinachonolewa na Kocha Mkuu, Miloud Hamdi. Mchezo wa mwisho akiwa na uzi wa Yanga SC ilikuwa dhidi ya JKT Tanzania ambao…

Read More

KIKOSI CHA RS BERKANE DHIDI YA SIMBA SC

RS Berkane kutoka Morocco itakuwa Uwanja wa New Amaan Complex kwenye mchezo wa fainali ya pili Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya Simba SC ya Tanzania, saa 10:00 jioni. Hiki hapa kikosi cha kwanza ambacho kinatarajiwa kuanza kipo namna hii:-  Munir El Kajoui  Hamza Moussaoui  Adil Tahif  Yassine Lebhiri  Issoufou Dayo  Mamadou Camara  Youssef Mehri…

Read More

Maliza Msimu Ukiwa Milionea Leo

Kama kawaida leo hii ni siku ya kutusua na wakali wa ubashiri Meridianbet ambapo leo hii odds za kijanja zinapatikana hapa. Suka jamvi lako la ushindi na unufaike leo. Ligi kuu ya Hispania LALIGA leo hii kuna mechi 3 za kubashiri, Girona atamleta kwake Atletico Madrid ambao wapo nafasi ya 3. Wenyeji wao wapo nafasi…

Read More

GATES OF OLYMPIA SASA LIVE KWENYE MERIDIANBET – HII SI KAWAIDA, NI FURSA YA KISHINDO!

Meridianbet, kinara wa michezo ya kubahatisha nchini Tanzania, imezindua rasmi mchezo mpya wa kipekee unaoitwa GATES OF OLYMPIA, mchezo ambao umewasha moto Ulaya na sasa umefika Tanzania kupitia jukwaa lako pendwa, Meridianbet! ⚡ NI NANI ATAKAYEPITA KATIKA MILANGO YA OLYMPIA NA KUSHINDA MAMILIONI? Mchezo huu unakupeleka katika ulimwengu wa Miungu wa Kigiriki ambapo mungu wa…

Read More