
MKALI WA MABAO BONGO ATAJA KILICHO NYUMA YA TUZO
MKALI wa mabao ndani ya Ligi Kuu Tanzania Bara ambayo ni namba nne kwa ubora Clement Mzize amefichua kilicho nyuma ya mafanikio yake kwenye kusepa na tuzo. Mzize kwenye mchezo dhidi ya Fountain Gate uliochezwa Uwanja wa Tanzanite, Kwaraa Aprili 21 aliibuka kuwa mchezaji bora ubao uliposoma Fountain Gate 0-4 Yanga. Ushindi huo unaifanya Yanga…