MANCHESTER UNITED YATANGAZA KUJENGA UWANJA MPYA

Timu ya Manchester United rasmi sasa imetangaza kujenga Uwanja mpya utakaoingiza watazamaji 100,000 kwa wakati mmoja. Uwanja huo ndio utakuwa Uwanja mkubwa zaidi katika Taifa la Uingereza kwani Wembley ndio Uwanja mkubwa kwa sasa na unachukua watu 90,000. Ukubwa wa Uwanja huu utakuwa sawa na Uwanja kama Uwanja wa Barcelona Camp Nou. Taarifa hiyo imetolewa…

Read More

HASIRA ZA SIMBA KUHAMIA HAPA KISA KARIAKOO DABI

UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa hasira zakukosa mchezo wa Kariakoo Dabi ambao ulitarajiwa kuchezwa Machi 8 2025 Uwanja wa Mkapa watazihamishia kwa wapinzani wao TMA Stars mchezo wa CRDB Federation Cup. Ikumbukwe kwamba mchezo huo ulikuwa ukisubiriwa kwa shauku kubwa kati ya Yanga na Simba, Bodi ya Ligi Kuu Tanzania Bara, (TPLB) ilitoa taarifa…

Read More

CARY PURRY SLOTI KUBWA YA USHINDI MKUBWA

Huenda umewahi kuona au kusikia stori nyingi kuhusu paka, Meridianbet kasino ya mtandaoni inakuletea mkutano na paka wa kuvutia wanaowapa wachezaji zawadi za kasino. Kazi yako ni kuwakusanya tu. Cat Purry ni sloti ya kasino mtandaoni inayotolewa na Games Global. Katika mchezo huu, utapata bonasi kadhaa. Kuna Bonasi ya Kishindo Kikubwa ambayo inakupa nafasi ya…

Read More